Hii lift vipi

TECHMAN

JF-Expert Member
May 20, 2011
2,651
1,123
Mpo njiani mnatoka shamba, kushakuwa jioni sana na kuna dalili za kunyesha mvua, mara anakuja mwarabu wa shamba la jirani akiwa na pickup yake, mbele kuna nafasi moja tu. mwarabu anashauri, Mkeo Amuweke mbele kisha wewe akuweke nyuma muendelee na safari. Je utakubali????
 
Tunakaa wote nyuma, hataki acha mvua itunyeshee. Kwa pickup ina siti nne hizo mbili kaweka nini?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom