Erick G. Mkinga
Member
- May 19, 2011
- 62
- 5
Kila mwaka tunalia tunataka kuongezewa hela..tena tunagoma kwa nguvu zote..lakini kwa miaka minne sasa hela ni kama imeganda hivi na maisha yamepanda,....Hivi ni ipi bora kuandamana waongeze hela kwa ajili yetu tuu au kugoma Wasipandishe bei ya mahitaji mengine ili tufaidi wote mpaka wazazi nyumbani,...Kiupande wangu saa nyingine nakandia hii migomo sABABU NAONA kama imekaa kiubnafsi hivi,,,halafu mbaya zaidi kila tukigoma finalist wanapinga sababu wanaona tunawaharibia mipango(UBINAFSI)...Na siku si nyingi naona patachimbika Tunataka elfu 10 per day,,,lakini je ni kweli itatosha na maisha yanazidi panda,..kwanini tusiwazuie wakubwa wasipandishe sukari na mahitaji muhimu.nafikiri hii itakuwa nzuri zaidi,..