michaeljuma1986
Member
- Mar 25, 2012
- 38
- 12
Vijana maisha tunao ishi sasa hapa tanzania siyo kusudi la mweyezi mungu alieiumba nchi yetu,maana mungu ametupa vitu vingi kiasi kwamba nchi nyengine zinatamani kuwa na mali kama zilizopo hapa tz,lakini maisha ya vijana walio wengi hapa tz wamechoka sana maana mifumo tulionao siyo lafiki kwa vijana katika upande wa ajira na upande wa biashara pia sasa ili kuokoa haya mateso tanao pata mashuleni,vyuoni,sokoni,mitani ni lazima tutafakari namna ya kubadilisha serikali,mfano ukiona memory card ina virus dawa ni kuformat memory zima na siyo kuscan,maana ukiscan virus huwawanajificha,vijana tufanye mabadiliko ilituwaonyeshe walio sema watatawala milele kuwa haiwezekani.