oba
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 310
- 65
Gross income ya mshahara wangu kwa mwaka ni 9200000.00 bila makato ya NSSF, BIMA, kurejesha mkopo wa elimu ya juu n.k; kodi yangu kwa mwezi nakatwa 115,000.00 jumla 1380000.00. Mfanyabiashara mweny kipato cha mil 5 hadi 9( yaani faida) makadirio ya kodi yake kwa mwaka ni 90000.00( labda kama imebadilika hivi majuzi). Kutokana na mahesabu hayo naona sitendewi haki, nimeamua kuanzisha biashara, naacha kazi kwa jakaya.