ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,555
Shauri zenu mliogonga kikombe,mimi nilimsindikiza mtu na nilikataa kunywa
kwani huwa mnasema nyie kama uliweza kufika kwa babu basi na wewe ni mmoja wao..
Shauri zenu mliogonga kikombe,mimi nilimsindikiza mtu na nilikataa kunywa
KIVP Hujui ama?? kauli yake umeisikia kuhusu wakazi wa kigamboni?? ngoja niku megee hii status niliyo icopy kwa sudi mnete FB
"
Sisi wakazi wa Kigamboni, tuliwahi kupoteza ndugu na marafiki kwa mitumbwi, tumeahidiwa daraja tangu miaka ya 70, hali ngumu mpaka wingine waafikiria kulitangaza eneo hilo kuwa taifa lingine kabisa sasa leo inakuwa "Na atakayeshindwa kulipa nauli mpya Dar- Kigamboni na apige mbizi au azunguke Kongowe"
Shenz Type
hiyo shenzi hapo nimeongezea kutia nakshi!!