Kivipi?!!
Itakuwa ni komoni hiyo !
Duu asante kwa kunijuza. Inawezekana hicho kikombe kilikuwa na traces za kimpumu.KIVP Hujui ama?? kauli yake umeisikia kuhusu wakazi wa kigamboni?? ngoja niku megee hii status niliyo icopy kwa sudi mnete FB
"
[h=6]Sisi wakazi wa Kigamboni, tuliwahi kupoteza ndugu na marafiki kwa mitumbwi, tumeahidiwa daraja tangu miaka ya 70, hali ngumu mpaka wingine waafikiria kulitangaza eneo hilo kuwa taifa lingine kabisa sasa leo inakuwa "Na atakayeshindwa kulipa nauli mpya Dar- Kigamboni na apige mbizi au azunguke Kongowe"
Shenz Type[/h]
hiyo shenzi hapo nimeongezea kutia nakshi!!
magufuli huyu huyu????!!!! Kichwa kimekuwa kikubwa eeh!!
Pambaf na nusu.
alitibiwa lakini ugonjwa wake umerudi. wamrudishe kwa babu apate kikombe. mia