Mugongo ni kiswahili cha kikongo kilichochakachuliwa.Hivi ni mgongo au mugongo?
Kwani mkuu hawa wameificha au wanaionyesha?
NO huyo sio mdhungu ni maarabu ya mzenga. nyumba bila msalani iweje iwe nyumba kamiliiiiiii????????Mkuu hawa hawajazificha lakini...Huyo wa mwanzo kabana hilo wax makusudi (ila mafundi wana kazi!! )...Huyo wa pili kavaa hicho sijui ndio kibodi suti au kinini then akatubinulia mgongo makusudi (halafu sijui ni mzungu?? Kwani wazungu nao wana mgongo??)
Huyo wa pili nimemkubali
Kwa mwenendo huu sijui kama yesu atarudi tena
hivi masaburi yana kazi gani muhimu sana zaidi ya kukalia........mbona watu mnayapenda hivi?
Huko iliacha kuota lini?Mimi ndo 7bu napenda sherha za kiislam...hii huwezi kuikuta Iran, saudia arabia,somalia nk.
Hell no....