Mimi ndo 7bu napenda sherha za kiislam...hii huwezi kuikuta Iran, saudia arabia,somalia nk.
Kuja atakuja ila issue ni kwamba atapata hata kiahiace kimoja cha wateule wa kwenda nao??Kwa mwenendo huu sijui kama yesu atarudi tena
Mkuu hawa hawajazificha lakini...Huyo wa mwanzo kabana hilo wax makusudi (ila mafundi wana kazi!! )...Huyo wa pili kavaa hicho sijui ndio kibodi suti au kinini then akatubinulia mgongo makusudi (halafu sijui ni mzungu?? Kwani wazungu nao wana mgongo??)