Hii kauli ya Membe ameniacha hoi

Dec 11, 2010
3,321
6,328
Kutokana wizi ulioripotiwa kutokea wizarani kwake, alipoongea na waandishi wa habari alisema "Haikuwa wizi bali ulikuwa ukiukwaji wa taratibu za fedha". Lakini wakati huo mkumbuke kuwa imeundwa tume ya kuchunguza ukwapuaji wa fedha hizo.
 
Unamshangaa Mwana CCM kutoa kauli ya hivyo?
Rushwa wanaita Takrima
Wizi unaitwa deal
Mwenzao akiiba - Wanamtengenezea mazingira ajifiche ili raia wanyamaze.
Mahakama zipo lakini kila tukio la wizi, ujambazi huundwa tume na majibu ya tume huwa ya utata.

Hivi niulize labda ulikuwepo enzi hizo; alipouwawa Jenelali Kombe - tume iliyoundwa ilitoa majibu gani... ?
Baada ya miaka kadhaa kupita walomuua si wako mtaani.

ndugu yangu serikali tuliyonayo inawakumbatia waarifu ili walala hoi na waadilifu tuendelee kuteseka.
 
Unamshangaa Mwana CCM kutoa kauli ya hivyo?
Rushwa wanaita Takrima
Wizi unaitwa deal
Mwenzao akiiba - Wanamtengenezea mazingira ajifiche ili raia wanyamaze.
Mahakama zipo lakini kila tukio la wizi, ujambazi huundwa tume na majibu ya tume huwa ya utata.

Hivi niulize labda ulikuwepo enzi hizo; alipouwawa Jenelali Kombe - tume iliyoundwa ilitoa majibu gani... ?
Baada ya miaka kadhaa kupita walomuua si wako mtaani.

ndugu yangu serikali tuliyonayo inawakumbatia waarifu ili walala hoi na waadilifu tuendelee kuteseka.

Tutor nimekupata na hakika andishi lako limenikumbusha mambo mengi yaliyokwisha undiwa tume na majibu yakabaki kabatini mwa wakuu bila umma kutaarifiwa chochote.
 
Kunapotokea jambo la kuitia serikali ya chama tawala aibu, huundwa tume, siyo kwa ajili ya kupata ukweli zaidi. Ila kwa matokeo ya tume nyingi, inaonyesha tume huagizwa zikaangalie namna ya kuzima malalamiko na kupindisha ukweli. Na huenda walalamikaji huitwa na eidha kutishiwa au kuhongwa ili wasiendelee kulalamika. Nadhani wapo pia walalamikaji wanaopotea kipindi cha uchunguzi wa tume. Kwahiyo ukiona tume imeundwa kaa CHONJO!
 
Ni sawa na kauli ya Lipumba:"Msimtukane bure rais mkapa kuwa ni mwongo!!!Si mwongo bali ana tabia ya kutosema ukweli!!"
 
Ndugu zangu, mkisikia tume inaundwa kuchunguza jambo, mjue hapo tayari tumeibiwa. Kwa nn haikuundwa tume walipouwawa watalii, na baada ya siku mbili watuhumiwa wamekamatwa, lakini imeundwa tume 'Fasta fasta' tukio la kutekwa na kuteswa Dr. Uli
 
membe huwa namwona mzushi tu. kuhusu meli za iran eti anasema ameomba uk na us wasaidie uchunguzi. kama wamesha chimba mkwara maana yake wanayo majibu tayari... huu si wehu
 
..walikuwa wametenga 3 billion kwa ajili ya safari za Brazil,Swiss, na Arusha.

..Membe ana maelezo au utetezi gani kwa matumizi makubwa kiasi hicho??
 
Back
Top Bottom