Mohamedi Mtoi
R I P
- Dec 11, 2010
- 3,321
- 6,328
Kutokana wizi ulioripotiwa kutokea wizarani kwake, alipoongea na waandishi wa habari alisema "Haikuwa wizi bali ulikuwa ukiukwaji wa taratibu za fedha". Lakini wakati huo mkumbuke kuwa imeundwa tume ya kuchunguza ukwapuaji wa fedha hizo.