Masoud Kipanya kasema kweli.unataka aweke habari kama za MICHUZI.Masoud Kipanya unatafuta waku-Mwangosi.
Hii Katuni inaeleza kila kitu kuhusu Rais wetu ambae pia ni Waziri wa Mambo ya Nje.
Message sent and delivered. Lakini muda wake si utakuwa umekwisha?