Kuna mtu kaniambia jana kapiga birthday yake pale New York
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Ombaomba asitembee ataishi vp? Li-Obama mpaka term ya kwanza inaisha halijatia mguu Kenya wala nn. Nikidhan mpaka leo Wajaluo wanashangaa. Urais ni taasisi Marekani, siyo Bongo. Mambo ya kuwakilishwa sijui na PM, Waziri wa mambo ya nje, Balozi nk, ni haba sana.
hata akiona sidhani kama huyu rahis atabadilika,maana si rais tena bali ashakuwa rahisi ndo maana amerahisishwa hadi kwa kupewa zawadi ya jezi tena jezi yenyewe ya reserve.
sifa ya unafiki unayo kabisa
Akisafiri deogratius munishi,mbowe au slaa mnachekelea kweli.mbona juzi lema alienda kupiga picha ulaya mliona ni mjanja leo rais anaenda kuweka mambo ya uchumi sawa mnachonga
Akisafiri deogratius munishi,mbowe au slaa mnachekelea kweli.mbona juzi lema alienda kupiga picha ulaya mliona ni mjanja leo rais anaenda kuweka mambo ya uchumi sawa mnachonga