Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 6,376
- 6,708
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya kutoka canada alikoenda kubembea kwenye gari la farasi na kupata jezi,kesho atakuwa uganda akiendeleza wimbi la kuishi angani na nje ya nchi anayoiongoza
Mbeya kaja Huku Mara mbili tokea awe Rais lakini USA kaenda Mara 15 inaelekea mbeya ni mbali sana kuliko USA!!!!
Mbeya kaja Huku Mara mbili tokea awe Rais lakini USA kaenda Mara 15 inaelekea mbeya ni mbali sana kuliko USA!!!!
Ungeuliza pia yupi safari zake zinamanufaa zaidi kwa Nchi yake.Kikwete na Hillary Rodham Clinton nani zaidi katika kupasua anga?