Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,287
Wanafanya nini??
huyu dada anamwambia njemba uwe unanifanya hivi acha kuwa legelege.sijaelewa kabisa wanachofanya hapo...naomba mnieleweshe...
huyu dada anamwambia njemba uwe unanifanya hivi acha kuwa legelege.
huyu dada anamwambia njemba uwe unanifanya hivi acha kuwa legelege.
Wewe dada flora umeipata wappi hiyo; na mbona hauitolei maelezo sasa? lol