Mmesikia bajeti ya miundo mbinu?wanadaiwa bil 323 bila riba Na wakandarasi wao wameomba hazina bil 370 swali watalipa madeni au watajenga miundo mbinu mipya kwa fedha zipi mwaka ujao?kwa kweli CCM IMECHOKA JAMANI TUNAHITAJI MABADILIKO!
Hapo inalaumiwa CCM au serikali? Au CCM na serikali ni kitu kimoja?