Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,316
- 33,112
Ni Kweli hii kwangu mimi ni picha ya mwaka 2011Hii naomba iunganishwe kwenye zile picha za mwaka maana ni kali
ukali wake ni jinsi walivyoshikana inamaanisha wanapendana kikweli hawa wanyama kuliko sisi binadamu tunapendana kwa ajili ya pesa. Hapendwi Mtu ila pesa mapenzi ya pesa hayadumu.ukali wake uko wapi???
Mkuu usimfananishe haya Magorila na binadamu BAN itakuhusu mkuu nakuonya usirudie tena.kuna waziri mmoja hivi kwenye serikali ya ****** anafanana na majamaa haya, tena nilidhani ni yeye, wanajamvi si ajabu akawa ni yeye na maiwafu wake.
ni kweli katuni lakini inatufundisha nini hebu wewe jiulize?katuni?