Hii kali sasa: Shule ya kwanza kitaifa matokeo darasa la saba imetokea Geita!

TAWA

JF-Expert Member
Jun 23, 2013
3,667
1,566
Wakati mwanafunzi wa kwanza na wa pili kitaifa wote wakitokea shule ya msingi Hazina iliyopo mkoa wa Dar es salaam huku yule wa tatu akitokea mkoani Mwanza tunaelezwa kwamba shule ya kwanza kitaifa imetokea mkoani Geita.
My take:
Suala hili kama ni sahihi sawa ila mimi nahisi kama ni kujikomba kwa watendaji wa tume kwa magufuli kwa kuwa ndiyo mkoa aliotokea.
Matokeo yamejaa siasa kiasi hata wahandishi waliokuwepo katika press conference hiyo walikuwa wakicheka muda wote.
Siasa siasa siasa kila kona.
 
We nawe! Mtihani umefanyika lini? Usahihishaji wa mitihani umeanza lini? Upangaji wa matokeo umeanza lini? Huko mnakoelekea sasa siyo kuzuri...

Na lipi limekushangaza kwa shule ya kwanza kutoka Geita? Wangesema ni Arusha, Manyara au Kilimanjaro ungeshangaa hivi? Monduli je? Ingekuwa Chato ingekuwaje? My ghosh!
 
Wakati mwanafunzi wa kwanza na wa pili kitaifa wote wakitokea shule ya msingi Hazina iliyopo mkoa wa Dar es salaam huku yule wa tatu akitokea mkoani Mwanza tunaelezwa kwamba shule ya kwanza kitaifa imetokea mkoani Geita.
My take:
Suala hili kama ni sahihi sawa ila mimi nahisi kama ni kujikomba kwa watendaji wa tume kwa magufuli kwa kuwa ndiyo mkoa aliotokea.
Matokeo yamejaa siasa kiasi hata wahandishi waliokuwepo katika press conference hiyo walikuwa wakicheka muda wote.
Siasa siasa siasa kila kona.

Ulitaka shule ya kwanza itoke Arusha au Kilimanjaro?
 
Wakati mwanafunzi wa kwanza na wa pili kitaifa wote wakitokea shule ya msingi Hazina iliyopo mkoa wa Dar es salaam huku yule wa tatu akitokea mkoani Mwanza tunaelezwa kwamba shule ya kwanza kitaifa imetokea mkoani Geita.
My take:
Suala hili kama ni sahihi sawa ila mimi nahisi kama ni kujikomba kwa watendaji wa tume kwa magufuli kwa kuwa ndiyo mkoa aliotokea.
Matokeo yamejaa siasa kiasi hata wahandishi waliokuwepo katika press conference hiyo walikuwa wakicheka muda wote.
Siasa siasa siasa kila kona.

We nawe ----- kabsa kwahiyo unataka kusema baraza la mitihani wameiba matokeo ya Monduli, mtu mzima ovyooooo
 
We nawe! Mtihani umefanyika lini? Usahihishaji wa mitihani umeanza lini? Upangaji wa matokeo umeanza lini? Huko mnakoelekea sasa siyo kuzuri...

Na lipi limekushangaza kwa shule ya kwanza kutoka Geita? Wangesema ni Arusha, Manyara au Kilimanjaro ungeshangaa hivi? Monduli je? Ingekuwa Chato ingekuwaje? My ghosh!

Kweli kama mawazo ya baadhi ya watanzania ndio hayo kazi ipo ... kwa hiyo kuna watu wanategemea kwamba shule zitakazo kua zinaongoza ni za mikoa Fulani tu!!!

Mkuu inawezekana wenye mawazo haya ndio hao hao wanaopiga kelele kwamba wameibiwa uraisi
 
Kweli kama mawazo ya baadhi ya watanzania ndio hayo kazi ipo ... kwa hiyo kuna watu wanategemea kwamba shule zitakazo kua zinaongoza ni za mikoa Fulani tu!!!

Mkuu inawezekana wenye mawazo haya ndio hao hao wanaopiga kelele kwamba wameibiwa uraisi

hawa jamaa hats wabunge was upinzani kama sio wachaga wanaona hawajamilika, tutawanyoosha tu tulianzia sekondari za kata ....mtanyooka wenyewe!
 
Zamani shule za mikoa ya Kagera ilikuwa inaongoza, siku hizi shule nyingi zinashika mkia!
 
Mchagga asipotajwa hoja inakosa uzito.wachagga wamekuwa miungu au?why always wachagga?nyie maintarahamwe mmefunzwa vibaya na magamba,.sera za ukabila.
 
Wakati mwanafunzi wa kwanza na wa pili kitaifa wote wakitokea shule ya msingi Hazina iliyopo mkoa wa Dar es salaam huku yule wa tatu akitokea mkoani Mwanza tunaelezwa kwamba shule ya kwanza kitaifa imetokea mkoani Geita.
My take:
Suala hili kama ni sahihi sawa ila mimi nahisi kama ni kujikomba kwa watendaji wa tume kwa magufuli kwa kuwa ndiyo mkoa aliotokea.
Matokeo yamejaa siasa kiasi hata wahandishi waliokuwepo katika press conference hiyo walikuwa wakicheka muda wote.
Siasa siasa siasa kila kona.
we mtoa post mbweha nn,,inaonekana una IQ ndogo sana tena double figures ,hvi hujui maana ya 'ufaulu wa ujumla',usiangalie wa kwanza anatoka wapi chzi ww
 
Mchagga asipotajwa hoja inakosa uzito.wachagga wamekuwa miungu au?why always wachagga?nyie maintarahamwe mmefunzwa vibaya na magamba,.sera za ukabila.
Naona eventually watu wameanza kuchoka na majivuno ya Wachagga sasa. Na kama ni ukabila mmeuchochea wenyewe na hilo lichama lenu la kikabila. Msilaumu watu hapa!
 
Mchagga asipotajwa hoja inakosa uzito.wachagga wamekuwa miungu au?why always wachagga?nyie maintarahamwe mmefunzwa vibaya na magamba,.sera za ukabila.

Huwaoni wakija mjini na nguo zao za kukatia majani, wabaguzi mpaka makanisani hawa watu
 
Mchagga asipotajwa hoja inakosa uzito.wachagga wamekuwa miungu au?why always wachagga?nyie maintarahamwe mmefunzwa vibaya na magamba,.sera za ukabila.

sio miunguwatu ni mashetani watu.
 
Matokeo ya darasa la saba mbona siku hizi yana pikwa tu.Ni siasa tu inayotembea hamna kitu.Yaani inasikitisha.Siasa mpaka kwenye elimu.
Wakati mwanafunzi wa kwanza na wa pili kitaifa wote wakitokea shule ya msingi Hazina iliyopo mkoa wa Dar es salaam huku yule wa tatu akitokea mkoani Mwanza tunaelezwa kwamba shule ya kwanza kitaifa imetokea mkoani Geita.
My take:
Suala hili kama ni sahihi sawa ila mimi nahisi kama ni kujikomba kwa watendaji wa tume kwa magufuli kwa kuwa ndiyo mkoa aliotokea.
Matokeo yamejaa siasa kiasi hata wahandishi waliokuwepo katika press conference hiyo walikuwa wakicheka muda wote.
Siasa siasa siasa kila kona.
 
Back
Top Bottom