Kibirizi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 604
- 146
Hii kali RUGAIMUKAMU: Hivi Rweyongeza kale katoto kako Gozbert kako wapi siku hizi? Maana nakumbuka kalikuwa dull darasani mwenzake Albert ni daktari bingwa sasa!
MUCHUNGUZI: Ee Albert kumbe ni mtaalamu.
RWEYONGEZA: Aa Gozbert yupo, yeye kazi yake ni kuwahudumia wagonjwa walioshindwa na madaktari bingwa!
RUGAIMUKAMU: mmmmm!!!! (BAADA YA RUGAIMUKAMU kuondoka). MUCHUNGUZI: Eee Rweyongeza, nilishindwa kukuuliza vizuri mbere ya Rugaimukamu, sasa kama Gozbert anahudumia wagonjwa walioshindwa na madaktari bingwa, yeye ni nani?
RWEYONGEZA: Aaa unajua Ka Gozbert hakakusoma hivyo kanachimba makaburi!! Tehee Tehee kwikwi.
MUCHUNGUZI: Ee Albert kumbe ni mtaalamu.
RWEYONGEZA: Aa Gozbert yupo, yeye kazi yake ni kuwahudumia wagonjwa walioshindwa na madaktari bingwa!
RUGAIMUKAMU: mmmmm!!!! (BAADA YA RUGAIMUKAMU kuondoka). MUCHUNGUZI: Eee Rweyongeza, nilishindwa kukuuliza vizuri mbere ya Rugaimukamu, sasa kama Gozbert anahudumia wagonjwa walioshindwa na madaktari bingwa, yeye ni nani?
RWEYONGEZA: Aaa unajua Ka Gozbert hakakusoma hivyo kanachimba makaburi!! Tehee Tehee kwikwi.