Hii kali, Halima Mdee kuhusishwa na ufisadi wa kiwanja Mbezi Jogoo?

masopakyindi

Platinum Member
Jul 5, 2011
17,882
13,171
Katika hali isiyo ya kawaida, Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Mbezi Jogoo(nyuma ya Cotex) Bw. Juma zmunanka amelazimishwa kujiuzulu leo mbele ya wananchi baada ya mlolonho wa vurumai za kutomtaka kwa kipindi kirefu sasa.

Munanka amekuwa na tuhuma nyingi za kuuza viwanja, nyingi ambazo zimeishia kwenye migogoro na wananchi.
Inasemekana Munanka anachunguzwa na TAKUKURU kwa kukusanya michango toka kwa viwanda vilivyopo sehemu yake kwa mradi hewa wa kituo cha watoto yatims.

Yote tisa, lakini kumi ni la uuzwaji wa kiwanja kilichopokaribu ya kiwanda cha Cotex , sambamba na kiwanda cha juisi ya kusindika cha MAZA.

Wananchi leo waliitishwa ili wapatanishwe na Munanka lakini wamekataa katakata.

Ndipo Juma Munanka akaomba kujiuzulu, lakini akasema aba machche ya kusema kabla ya kuondoka.

Akasema yote ya kuuza kiwanja yalisukwa toka Kwa Mkurugenzi wa Halmashauri Kinondoni, na kiwanja kimeuzwa na Mtu fulani anaitwa Namgongo( kimeuzwa kwa Mbunge-hakutajwa lakini anaishi jirani na hapo).

Munanka aliendelea kufunguka kuwa licha ya Mkurugenzi wa Kinondoni kufahamu na kusimamia mipango, Mbunge wa eneo hilo ( siyo mnunuzi)ana habari(Halima Mdee) ,na vilevile Diwani wa eneo hilo na hata Mkuu wa Kituo Polisi kawe na kwamba shughuli yote iligharimu kiasi cha tsh milioni 300.

Wananchi eneo hilo wameondoka huku wakiwa wamechanganyikiwa!
 
Hii sasa kali.halima mdee anatumia mda wake vizuri,ndio mana tunasema watanzania wanapambana na ufisadi wakiwa nje,akipata nafasi naye anapiga
 
Katika hali isiyo ya kawaida, Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Mbezi Jogoo(nyuma ya Cotex) Bw. Juma zmunanka amelazimishwa kujiuzulu leo mbele ya wananchi baada ya mlolonho wa vurumai za kutomtaka kwa kipindi kirefu sasa.

Munanka amekuwa na tuhuma nyingi za kuuza viwanja, nyingi ambazo zimeishia kwenye migogoro na wananchi.
Inasemekana Munanka anachunguzwa na TAKUKURU kwa kukusanya michango toka kwa viwanda vilivyopo sehemu yake kwa mradi hewa wa kituo cha watoto yatims.

Yote tisa, lakini kumi ni la uuzwaji wa kiwanja kilichopokaribu ya kiwanda cha Cotex , sambamba na kiwanda cha juisi ya kusindika cha MAZA.

Wananchi leo waliitishwa ili wapatanishwe na Munanka lakini wamekataa katakata.

Ndipo Juma Munanka akaomba kujiuzulu, lakini akasema aba machche ya kusema kabla ya kuondoka.

Akasema yote ya kuuza kiwanja yalisukwa toka Kwa Mkurugenzi wa Halmashauri Kinondoni, na kiwanja kimeuzwa na Mtu fulani anaitwa Namgongo( kimeuzwa kwa Mbunge-hakutajwa lakini anaishi jirani na hapo).

Munanka aliendelea kufunguka kuwa licha ya Mkurugenzi wa Kinondoni kufahamu na kusimamia mipango, Mbunge wa eneo hilo ( siyo mnunuzi)ana habari(Halima Mdee) ,na vilevile Diwani wa eneo hilo na hata Mkuu wa Kituo Polisi kawe na kwamba shughuli yote iligharimu kiasi cha tsh milioni 300.

Wananchi eneo hilo wameondoka huku wakiwa wamechanganyikiwa!

Mkuu kitu ambacho hujatueleza ni hawa viongozi; Halima Mdee, Diwani wa eneo hili, na Mkuu wa kituo cha Polisi Kawe wamehusishwaje!
Au wao walijua baada ya wananchi kupeleka malalamiko yao kwao?
Na kama huyu Juma ndiye mtuhumiwa na Inaonekana ni kifisadi kidogo Unawezaje kuamini ushahidi wake?
halafu katika ngazi za uongozi nchi hii ni Mwenyekiti wa kijiji au mtaa ndie anakuwa na maamuzi makubwa juu ya uzaji wa ardhi baada ya kuitisha mkutano Mkuu Wa kijiji Au mtaa. Sasa tuambie hawa akina Mdee, Diwani Na Polisi wamehusishwaje?
 
mimi mbona nashinwa kuona uhusiano uliopo kati ya kuelewa juu ya uuzwaji wa viwanja na ushiriki wake katika hilo dili.Mbona hata mkuu wa nchi alishaeleza ya kwamba anawajua wala rushwa kwa majina na mpaka leo hatujaona hatua stahiki zilizochukuliwa. Hapo unamuonea tuu mhe. leta thread ambazo zimejitosheleza
 
sio lazima kuandika threat unaweza hata kuosha vyombo kuliko kuviacha waoshe wengine kila siku au ukasoma threat ukajiongezea uelewa
 
Hivi mama rita mlaki si nasikia anaviwanja vingi hapo jogoo?
 
Katika hali isiyo ya kawaida, Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Mbezi Jogoo(nyuma ya Cotex) Bw. Juma zmunanka amelazimishwa kujiuzulu leo mbele ya wananchi baada ya mlolonho wa vurumai za kutomtaka kwa kipindi kirefu sasa.

Munanka amekuwa na tuhuma nyingi za kuuza viwanja, nyingi ambazo zimeishia kwenye migogoro na wananchi.
Inasemekana Munanka anachunguzwa na TAKUKURU kwa kukusanya michango toka kwa viwanda vilivyopo sehemu yake kwa mradi hewa wa kituo cha watoto yatims.

Yote tisa, lakini kumi ni la uuzwaji wa kiwanja kilichopokaribu ya kiwanda cha Cotex , sambamba na kiwanda cha juisi ya kusindika cha MAZA.

Wananchi leo waliitishwa ili wapatanishwe na Munanka lakini wamekataa katakata.

Ndipo Juma Munanka akaomba kujiuzulu, lakini akasema aba machche ya kusema kabla ya kuondoka.

Akasema yote ya kuuza kiwanja yalisukwa toka Kwa Mkurugenzi wa Halmashauri Kinondoni, na kiwanja kimeuzwa na Mtu fulani anaitwa Namgongo( kimeuzwa kwa Mbunge-hakutajwa lakini anaishi jirani na hapo).

Munanka aliendelea kufunguka kuwa licha ya Mkurugenzi wa Kinondoni kufahamu na kusimamia mipango, Mbunge wa eneo hilo ( siyo mnunuzi)ana habari(Halima Mdee) ,na vilevile Diwani wa eneo hilo na hata Mkuu wa Kituo Polisi kawe na kwamba shughuli yote iligharimu kiasi cha tsh milioni 300.

Wananchi eneo hilo wameondoka huku wakiwa wamechanganyikiwa!

Mkuu, kumbuka mbunge hakutajwa, na kama alisema mbunge anayekaa karibu na hapo palipouzwa ni Nyambari Nyangwine pale pembeni ya kiwanda cha MAAZA kuna ghorofa tatu juu ndipo anapoishi na Nyambari amekuwa akikifukuzia sana hicho kiwanja mpaka wakaja kumuuzia muhindi.
 
Mkuu kitu ambacho hujatueleza ni hawa viongozi; Halima Mdee, Diwani wa eneo hili, na Mkuu wa kituo cha Polisi Kawe wamehusishwaje!
Au wao walijua baada ya wananchi kupeleka malalamiko yao kwao?
Na kama huyu Juma ndiye mtuhumiwa na Inaonekana ni kifisadi kidogo Unawezaje kuamini ushahidi wake?
halafu katika ngazi za uongozi nchi hii ni Mwenyekiti wa kijiji au mtaa ndie anakuwa na maamuzi makubwa juu ya uzaji wa ardhi baada ya kuitisha mkutano Mkuu Wa kijiji Au mtaa. Sasa tuambie hawa akina Mdee, Diwani Na Polisi wamehusishwaje?
Mkuu hapo common point of confluence ni hiyo Tshs 300 million, imetembea hiyo
 
Mkuu, kumbuka mbunge hakutajwa, na kama alisema mbunge anayekaa karibu na hapo palipouzwa ni Nyambari Nyangwine pale pembeni ya kiwanda cha MAAZA kuna ghorofa tatu juu ndipo anapoishi na Nyambari amekuwa akikifukuzia sana hicho kiwanja mpaka wakaja kumuuzia muhindi.
Mkuu inelekea wewe una hints za dili hili, ila unakosa details.

Nyangwine nyambari ana ghorofa laku karibu na hicho kiwanja na ndiye anayedaiwa ni mnunuzi.
 
Mleta mada kaweka jina la Halima Mdee ili kuwavuta watu lakini alichokusudia anakijua mwenyewe
 
Back
Top Bottom