rafiki2010
Member
- Sep 23, 2010
- 23
- 0
NANUKUU KWA KUSEMA
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu amesema kuwa ni wajibu wa Watanzania kuwakataa wanasiasa wachovu ambao wanatumia kampeni za sasa kuwagawa wananchi kwa misingi ya ubaguzi.
Hili ni jambo la wazi ambalo watanzania wenye kuipenda nchi yao yawapasa kulifanya hili pasipo kulifanya hilo hao si watanzania wenye kuitakia tanzania indelee kuwa nchi ya amani na utullivu . Hili limejitokeza kwa vyama pinzani wakati wa kizinadi sera zao katika majukwa ya siasa . chakushangaza waacha kufanya kilicho wapeleka maju kwaani na hitime kuwajaza watanzani chuki na hasira miyoyoni mwao . hili siii jambo jema kwa hakika yatupasa tubadilike na kufanya kampeni yenye mtizamo chanya kwa taifa zima kwa ujumla
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu amesema kuwa ni wajibu wa Watanzania kuwakataa wanasiasa wachovu ambao wanatumia kampeni za sasa kuwagawa wananchi kwa misingi ya ubaguzi.
Hili ni jambo la wazi ambalo watanzania wenye kuipenda nchi yao yawapasa kulifanya hili pasipo kulifanya hilo hao si watanzania wenye kuitakia tanzania indelee kuwa nchi ya amani na utullivu . Hili limejitokeza kwa vyama pinzani wakati wa kizinadi sera zao katika majukwa ya siasa . chakushangaza waacha kufanya kilicho wapeleka maju kwaani na hitime kuwajaza watanzani chuki na hasira miyoyoni mwao . hili siii jambo jema kwa hakika yatupasa tubadilike na kufanya kampeni yenye mtizamo chanya kwa taifa zima kwa ujumla