Jamani kwa namna moja au nyingine nilijikuta na fanya utafiti usio rasmi.
Nimeuliza wanawake kama 7(ninao waami kiasi chake) kujua kama wao huwa wanaota ndoto za kufanya mapenzi?
Jibu nililopata linanishangaza kidogo.
Mmoja kaniambia mara ya mwisho kuota alikuwa std 6, wapili akaniambia amewaha mara mbili tu tena ukubwani na watano waliobaki wameniambia hawajawahi.
Nikasema ngoja niulize waungwana wa jf wanasemaje kwakuwa mi nilidhani hili swala ni sawa kwa jinsia zote maana kwa wanaume hizi ndoto ni za kawaida sana ila kwa sasa sijui ukweli ni upi.
Naomba wanaopenda kuchangia swala hili waje.
Nimeuliza wanawake kama 7(ninao waami kiasi chake) kujua kama wao huwa wanaota ndoto za kufanya mapenzi?
Jibu nililopata linanishangaza kidogo.
Mmoja kaniambia mara ya mwisho kuota alikuwa std 6, wapili akaniambia amewaha mara mbili tu tena ukubwani na watano waliobaki wameniambia hawajawahi.
Nikasema ngoja niulize waungwana wa jf wanasemaje kwakuwa mi nilidhani hili swala ni sawa kwa jinsia zote maana kwa wanaume hizi ndoto ni za kawaida sana ila kwa sasa sijui ukweli ni upi.
Naomba wanaopenda kuchangia swala hili waje.