VIKWAZO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 1,899
- 580
kuna mzee mmoja mkware alikuwa anajiiba kwa mama mmoja jirani na anapoishi na familia yake, kama umbali wa kilometre moja kutoka nyumbani kwake.
huyo mzee alikutana na huyo mama maeneo tofauti na hapo mtaani wanapoishi, katika mazungumzo wakajua kwamba ni majira.
kutoka na mzee kuwa na note huyo mama alijiingiza japo alijua huyo mzee kaoa. mzee alianza kuhaga anakwenda safari kumbe anakwenda kujipoza kwa huyo mama, matokeo yake wakapata mtoto wa kike.
walificha siri kwa zaidi ya miaka 20.
noma ilianza pale mtoto wa kike wa huyo mzee alipopata boyfriend.
in fact mke wake wa ndoa naye alishashitukia dili, ila kwa wazungu na unafiki wao walikuwa wametengana chumbani kwa manufaa ya mtoto wa wakiume amalize masomo yake bila kuchanganywa na criss hiyo ya baba na mama.
lakini kumbe dogo alipokuwa anarudi rikizo kutoka shule alikuwa na girlfriend, na akampa mimba kwa sababu mtoto wa kike alikuwa amezimika sana aligoma kutoa mimba baada ya kushauriana na bfriend wake.
KIZAA KIZAA HUYO DADA alikuwa ni mtoto wa baba yake kwenye nyumba ndogo.
issue iliposhitukiwa na wazazi ilizua patashika kwenye nyumba zote mbili hiyo ilikuwa kati ya mama na mama na baadaye baba jinsi ya kuokoa jahazi la hiyo mimba maana dogo hataki kuitoa na wao hawajamwambia ukweli wa nyuma ya pazia.
siku moja msichana yuko chumbani kwake wao bila kujua kama yupo wakawa wanaongelea hiyo issue. mtoto akaisikia.
akaenda kwa boyfriend wake kwa majonzi wakala dili na kumuua baba yao.
mimi nii issue kila nikiipa nafasi kichwani nashindwa ningesima wapi? kama ningegundua mpenzi wangu ni ndugu yangu.
wahusika wamefichwa majina na mahali kutoka na unyeti wa hii issue ni true story
huyo mzee alikutana na huyo mama maeneo tofauti na hapo mtaani wanapoishi, katika mazungumzo wakajua kwamba ni majira.
kutoka na mzee kuwa na note huyo mama alijiingiza japo alijua huyo mzee kaoa. mzee alianza kuhaga anakwenda safari kumbe anakwenda kujipoza kwa huyo mama, matokeo yake wakapata mtoto wa kike.
walificha siri kwa zaidi ya miaka 20.
noma ilianza pale mtoto wa kike wa huyo mzee alipopata boyfriend.
in fact mke wake wa ndoa naye alishashitukia dili, ila kwa wazungu na unafiki wao walikuwa wametengana chumbani kwa manufaa ya mtoto wa wakiume amalize masomo yake bila kuchanganywa na criss hiyo ya baba na mama.
lakini kumbe dogo alipokuwa anarudi rikizo kutoka shule alikuwa na girlfriend, na akampa mimba kwa sababu mtoto wa kike alikuwa amezimika sana aligoma kutoa mimba baada ya kushauriana na bfriend wake.
KIZAA KIZAA HUYO DADA alikuwa ni mtoto wa baba yake kwenye nyumba ndogo.
issue iliposhitukiwa na wazazi ilizua patashika kwenye nyumba zote mbili hiyo ilikuwa kati ya mama na mama na baadaye baba jinsi ya kuokoa jahazi la hiyo mimba maana dogo hataki kuitoa na wao hawajamwambia ukweli wa nyuma ya pazia.
siku moja msichana yuko chumbani kwake wao bila kujua kama yupo wakawa wanaongelea hiyo issue. mtoto akaisikia.
akaenda kwa boyfriend wake kwa majonzi wakala dili na kumuua baba yao.
mimi nii issue kila nikiipa nafasi kichwani nashindwa ningesima wapi? kama ningegundua mpenzi wangu ni ndugu yangu.
wahusika wamefichwa majina na mahali kutoka na unyeti wa hii issue ni true story