arushaaaa hapana wakuu........nikuomba sana beto za kufikia
Visu wakuuuu,street fight
Arachuga hakuna amani kabisaHuwezi hata ukanywa biya open space machokoraa lazima wakupige ngeta au beto au bisibisi ya ushuziaisee chaliii angu.....mbona sisi tunaishi na hakuna noma yoyote.......Chugga ni shwari kabisa chamaaa......we cheki kwanza huyo chalii halafu uniambie picha inaongea nini......
Arachuga hakuna amani kabisaHuwezi hata ukanywa biya open space machokoraa lazima wakupige ngeta au beto au bisibisi ya ushuzi
mbona tunakunywa kila mahali na hakuna aliyetuchoma kisu......mimi si ndio huyu hapa napost au......na saa hii nina mpango wa kuelekea Bugaloo......na kesho nitapost.......vipi bana wewe.......
naona wanahanya sana!mbona tunakunywa kila mahali na hakuna aliyetuchoma kisu......mimi si ndio huyu hapa napost au......na saa hii nina mpango wa kuelekea Bugaloo......na kesho nitapost.......vipi bana wewe.......
aaaaaaah barid ya yesu! Preta,....Beto arusha zina watu wao,kuna polisi mmoja alichomwa sindano ya mafuta ya taa sintosahau mtaa wa bongonyo