Hii imekaaje?

Elia

JF-Expert Member
Dec 30, 2009
3,425
567
Jamaa anademu wake ambaye wamefahamiana sio zaidi ya miezi miwili iliyopita, katika kumwaga sera jamaa alimhakikishia dem kwamba yupo serious na relation ikiwezekana izae ndoa. Katika kuweka mambo sawa, juzi alikuwa na second date na huyo dem wake siku ilikua nzuri sana anavyo dai, tatizo lilianza njiani wakati anamrudisha, Demu aliomba apewe mdori aliyekuwepo kwenye gari ya jamaa, jamaa alimwambia atamtafutia mdori mwingine ikiwezekana anayefanana na huyo lakini demu alikomaa anataka huyo huyo kama kununua anunue wake. Mwisho wa safari Dem aliposhuka kwenye gari hakumuaga. Jamaa ni Rafiki yangu sana ameniomba ushauri kuhusiana na mpenzi wake huyu ambaye anategemea kuoa Mungu akijaalia Naombeni ushauri wana JF
 
bado sijaelewa unataka tushauri nini hapo Elia!!!!!!!
hujafafanua tatizo ni nini?
 
Wote wana kautoto ndani yao!Mwanamke kwakung'ang'ania mdoli wa watu na mwanaume kuona mdoli ni ishu sana...sini mpenzi wake?Angempa tu!
 
mbona haijakaa vyovyote vile????!!! sasa unataka tumwambie ampe au asimpe huo mdori au we unataka nini hasa? go back and rephrase your thread!!!
 
kwenye gari la mwanaume mdori unaweka wa nn? hayo ni mambo ya kike gari linawekewa mpk mito ya kitandani wapi na wapi gari la kiume linawekewa muziki mkubwa tu sio mapambo kama kwenye spacio
 
Small things alwayza zinamatta sana,huyo msichana asitake kutafuta sababu,how old are they?kaanza kunga'ng;ania mdoli na kususa si atanga'ng'ania benzi nexty time?wakae waongee mdoli ni tatizo godo sana kugombana.
 
uyo mdor alikuwa yukoje?isije ikawa ana KAZI nao?
sjaona pbm apa sasa unataka ushauriwe nini apo?
napata picha mbili kwenye i stor yako;

1.demu anaonekana ajakua,
--hana uvumilivu,
--hana ustaaarabu- hauwez ukaingia tu kwenye gari na kulilia vtu vya watu uondoke navyo,
--demu si mvumilivu that ntakununulia wako bt still anan'gan'gania tu apo jamaa ajitayarishe ni sampul za wale wanawake nataka BMW km ya meng wiki ijayo....km sivyo mi narud kwetu..haunipend...
--DEMU ANAONGOZWA NA TAMAA BILA KUZINGATIA FACT ..
--akili fuuuuuuuuuuup km sandoz za kiyahudi.(akichambua tabia kutoka kwenye iyo swaga utakuja kuona uyo si demu wa kuoa ni MBINAFSI PIA ..its ol abt me)

2.
mwanaume naye ni tatizo ..km alimwona bibie analilia sana angemwachia tu na kumwambia km umelizika nae poa we chukua lakin ntakutafutia mwngne mzuri..apo case ingekuwa imekufa lakin si mwanaume na mwanamke mnan'gan'gania mdor ahhh i kali
-mwanaume hana busara wala hekima
-mwanaume hana utubutu wa KUJITOLEA ..km kashindwa kuachia mdori tu je yupo tayar kujitolea kwa demu kwenye tatizo lingine?
-si mlezi na wala hana ubaba...malezi ya watoto na huduma pia ni tatizo in sense of kuibeba nyumba na mahitaji yote
-mwanaume ni mchoyo
--anapenda ushindani na ubishani apo usishangae kuona unabshana na mwanaume km unabshana na HADIJA KOPA..
--km ningekuwa mimi apo ningefunga kitabu(uyo demu km alipitia somo fulan ivi basi alifanya ivo makusud ili apate kujua tabia ya jamaa..kwa wenyewe apo wanaweza wakakuchambulia tabia za jamaa zoooooote
--ahh ebu mie nkapike bamia nile..
 
uyo mdor alikuwa yukoje?isije ikawa ana KAZI nao?
sjaona pbm apa sasa unataka ushauriwe nini apo?
napata picha mbili kwenye i stor yako;

1.demu anaonekana ajakua,
--hana uvumilivu,
--hana ustaaarabu- hauwez ukaingia tu kwenye gari na kulilia vtu vya watu uondoke navyo,
--demu si mvumilivu that ntakununulia wako bt still anan'gan'gania tu apo jamaa ajitayarishe ni sampul za wale wanawake nataka BMW km ya meng wiki ijayo....km sivyo mi narud kwetu..haunipend...
--DEMU ANAONGOZWA NA TAMAA BILA KUZINGATIA FACT ..
--akili fuuuuuuuuuuup km sandoz za kiyahudi.(akichambua tabia kutoka kwenye iyo swaga utakuja kuona uyo si demu wa kuoa ni MBINAFSI PIA ..its ol abt me)

2.
mwanaume naye ni tatizo ..km alimwona bibie analilia sana angemwachia tu na kumwambia km umelizika nae poa we chukua lakin ntakutafutia mwngne mzuri..apo case ingekuwa imekufa lakin si mwanaume na mwanamke mnan'gan'gania mdor ahhh i kali
-mwanaume hana busara wala hekima
-mwanaume hana utubutu wa KUJITOLEA ..km kashindwa kuachia mdori tu je yupo tayar kujitolea kwa demu kwenye tatizo lingine?
-si mlezi na wala hana ubaba...malezi ya watoto na huduma pia ni tatizo in sense of kuibeba nyumba na mahitaji yote
-mwanaume ni mchoyo
--anapenda ushindani na ubishani apo usishangae kuona unabshana na mwanaume km unabshana na HADIJA KOPA..
--km ningekuwa mimi apo ningefunga kitabu(uyo demu km alipitia somo fulan ivi basi alifanya ivo makusud ili apate kujua tabia ya jamaa..kwa wenyewe apo wanaweza wakakuchambulia tabia za jamaa zoooooote
--ahh ebu mie nkapike bamia nile..
Nadhani hii inatosha, bibie inawezekana mjanja sasa tusubiri story ya baada ya kukutana siku nyingine hali ilikuwaje!
 
bado sijaelewa unataka tushauri nini hapo Elia!!!!!!!
hujafafanua tatizo ni nini?


jamaa hana uhakika kama ilikua sabau ya kumuacha au ni kweli dem aliupenda mdoli, na je aka mbembeleze na kumpa mdori au aachane nae?
 
Wote wana kautoto ndani yao!Mwanamke kwakung'ang'ania mdoli wa watu na mwanaume kuona mdoli ni ishu sana...sini mpenzi wake?Angempa tu!

Jamaa mdori ni kumbukumbu yake ya good time alipokuwa Singapore alipewa kama zawadi
 
mbona haijakaa vyovyote vile????!!! sasa unataka tumwambie ampe au asimpe huo mdori au we unataka nini hasa? go back and rephrase your thread!!!

Mdori ndio tatizo hasa, na jinsi dem alivyo likuza jamaa anahisi ilikua gear tu
 
Jamaa mdori ni kumbukumbu yake ya good time alipokuwa Singapore alipewa kama zawadi

alipewa zawadi ya mdori? mkaka?
sipati picha yule mkaka wangu nikimnunulia zawadi ya mdori, sijui patalalika!!! najiuliza tu...........
 
uyo mdor alikuwa yukoje?isije ikawa ana KAZI nao?
sjaona pbm apa sasa unataka ushauriwe nini apo?
napata picha mbili kwenye i stor yako;

1.demu anaonekana ajakua,
--hana uvumilivu,
--hana ustaaarabu- hauwez ukaingia tu kwenye gari na kulilia vtu vya watu uondoke navyo,
--demu si mvumilivu that ntakununulia wako bt still anan'gan'gania tu apo jamaa ajitayarishe ni sampul za wale wanawake nataka BMW km ya meng wiki ijayo....km sivyo mi narud kwetu..haunipend...
--DEMU ANAONGOZWA NA TAMAA BILA KUZINGATIA FACT ..
--akili fuuuuuuuuuuup km sandoz za kiyahudi.(akichambua tabia kutoka kwenye iyo swaga utakuja kuona uyo si demu wa kuoa ni MBINAFSI PIA ..its ol abt me)

2.
mwanaume naye ni tatizo ..km alimwona bibie analilia sana angemwachia tu na kumwambia km umelizika nae poa we chukua lakin ntakutafutia mwngne mzuri..apo case ingekuwa imekufa lakin si mwanaume na mwanamke mnan'gan'gania mdor ahhh i kali
-mwanaume hana busara wala hekima
-mwanaume hana utubutu wa KUJITOLEA ..km kashindwa kuachia mdori tu je yupo tayar kujitolea kwa demu kwenye tatizo lingine?
-si mlezi na wala hana ubaba...malezi ya watoto na huduma pia ni tatizo in sense of kuibeba nyumba na mahitaji yote
-mwanaume ni mchoyo
--anapenda ushindani na ubishani apo usishangae kuona unabshana na mwanaume km unabshana na HADIJA KOPA..
--km ningekuwa mimi apo ningefunga kitabu(uyo demu km alipitia somo fulan ivi basi alifanya ivo makusud ili apate kujua tabia ya jamaa..kwa wenyewe apo wanaweza wakakuchambulia tabia za jamaa zoooooote
--ahh ebu mie nkapike bamia nile..

Asante sana Rose You have a point, wote wana makosa Jamaa alifuga ubovu, mara zote dem akiingia kwenye gari ilikua lazima atoke na kitu, ashawahi kuchukua akadai alikua anaitafuta kwa muda mrefu anaiomba, akapewa
 
alipewa zawadi ya mdori? mkaka?
sipati picha yule mkaka wangu nikimnunulia zawadi ya mdori, sijui patalalika!!! najiuliza tu...........

Unajua jamaa aliifanya kitu kikubwa sana akiwa huko Singapore na mdori ilikuwa ni moja ya zawadi ambayo kwake ina kumbukumbu kubwa..
 
Back
Top Bottom