Nashindwa kuelewa kila msichana ninae do nae, cku tukiweka zana pembeni tu lazima anase mimba na hii haijalishi yupo kwenye danger au safe period. Mpaka sasa huyu msichana wa nane na wote inatokea hivyo kama kuna anejua sababu plz. Nikiri tu kuwa nimehusika katika kuzinyofoa but moja ilishindikana kwa ushauri wa daktari nikaiacha na sasa kidume cha nguvu. kama kuna anejua sababu ya hii kitu Mpaka sasa sijui nifanyeje!
Hivi vyuo vikuu vinatusaidia nini?
Kuishi maisha ya kila siku au kutafuta pesa tu?
Nashindwa kuelewa kila msichana ninae do nae, cku tukiweka zana pembeni tu lazima anase mimba na hii haijalishi yupo kwenye danger au safe period. Mpaka sasa huyu msichana wa nane na wote inatokea hivyo kama kuna anejua sababu plz. Nikiri tu kuwa nimehusika katika kuzinyofoa but moja ilishindikana kwa ushauri wa daktari nikaiacha na sasa kidume cha nguvu. kama kuna anejua sababu ya hii kitu Mpaka sasa sijui nifanyeje!