white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,314
- 13,279
jamani hivi hii sela ya kilimo kwanza itafanikiwa? Huku kijijini kwetu,watu wamekopeshwa power tila,wanafanyia biashara ya kubebea mizigo kupeleka sokoni,hazilimi tena,wanadai eti,bila kufanya hivyo watashindwa kulipa deni!kweli tutafika?na wahusika wanasema wahahusiki na matumizi yake,kila mkulima ana haki ya kutumia apendavyo!