Runner
Member
- Feb 7, 2011
- 85
- 13
Wapendwa wana JF naomba kupata ufafanuzi juu ya swali langu hili,"Katika kufanya mapenzi kuna wanaume wengine huwa wakishafika kileleni mara moja hawawezi kurudia tena mara ya pili mpaka labda mpaka baada ya muda,kama kesho yake au hata baada ya masaa kadhaa,"Je hii huwa ni tatizo la kukosa nguvu za kiume au ni kawaida?Naomba msaada kwenye hili