Kuna NACTE na NECTA we unamaanisha ipiHabarini wakuu....
hivi awamu hii ambayo necta wamefungua udahili inamaana ni kwa wote i mean form four na form six walioshindwa kufikia viwango vya kuchukua degree or...?maaana mimi nataka nitumie cheti cha form four kuapply diploma.
habari wana jf, kwa diploma holder anaetaka kyapply degree muongozo upoje.. msaada tafadhali