Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,443
Mpaka Daraja La Kigamboni linakuwa kama Babu wa Loliondo? Is it real a big deal kulipia kupita kwenye daraja? Politik imeharibu Bongo za Watanzania!!!
Haya ndiyo matatizo ya kuzoea kuchangia harusi badala ya kuchangia ada ya mtoto kwenda shule!!!
Haya ndiyo matatizo ya kuzoea kuchangia harusi badala ya kuchangia ada ya mtoto kwenda shule!!!