Hii imekaaje ya kuja kulipia daraja la Kigamboni?

[h=2]Historic examples of toll bridges[/h][h=3][edit]England[/h]
[h=3][edit]Ireland[/h]

Dublin's famous Ha'penny Bridge​

[h=3][edit]North America[/h]
 
Historic examples of toll bridges

[edit]England

[edit]Ireland


Dublin's famous Ha'penny Bridge​

[edit]North America

 
nilidhani hakutakuwa na malipo kumbe bora ya pantoni.

Unakosea mkuu.
Daraja lafupisha safari na gharama zake hazitakuwa kubwa mtu ashindwe changia.
Madaraja ya kulipia yamezagaa dunia nzima.
Kwanini Tanzania iwe habari ya ajabu.
OTIS
 
Duh! kwishney ina mana wafanyakazi wa pantoni ndio kibarua kinaanza kuota majani. kweli kufa kufaana.
 
Kwa kuwa hakutakuwa na gharama ya uendeshaji kwa daraja halitakuwepo kama feri labda kuwe na muda maalum wa kulipia ili kurudisha pesa za NSSF
Hivyo ndivyom itakavyofanyika. Wakisharudisha gharama zao za ujenzi daraja litakuwa na umma na ndio maana ya BOT - Build, operate and transfer.
Lakini Mkuu, si sahihi kusema kwua hakutakuwa na operation cost. daraja, kama zilivyo barabara, linahitaji matunzo
 
Tembea duniani uone ndio uanze kupiga kelele.
Hiyo dunia uliyotembea ni ipi?>
Nchi nyingi sana zina huu utaratibu na wewe ndio wa kwanza kushangaa.
Kweli ushamba ni mzigo mkubwa.
OTIS

Kama ni kuiga kwanini tusiige na yale yanayomlinda mwanachi,naomba tuige na jinsi ya kutekeleza sheria kama wenzetu pindi mtu anapovunja sheria za nchi,mfano rada (chenji kurudi bado tunahitaji ushahidi zaidi),epa (pesa zinarudishwa bado tunahitaji ushahidi zaidi) mifano ni mingi ambayo unaweza kutungia kitabu,kwa mtu anayetetea huu utendaji wa hii serikali atakuwa naye ni mtu anayeshiriki kwa huu upumbavu
 
...hei! hapana bana yaani ukitia unyayo wako hapo darajin ulipa?,kama tsh 200 imekuwa-issue hilo daraja silitakuwa la watali?,any way naomba niulize swali la nyonge,je lile daraja la Mkapa watu ulipishwa shilingi gapi?...ama kweli nchi hii imeisha-uzwa...
 
Aaa wasituletee uhuni hapa basi walipishe madaraja yote kwa nini liwe la kigamboni
 
Lazima kulipia ili kutumia daraja ili liweze kijiendesha lenyewe. Otherwise, siku serikali ikisema haina fedha basi na daraja lifungwe? Baada ya kukamilika daraja litahitaji uangalizi na maintenance ya hali ya juu sana. Hivyo litahitaji source of income kuji-maintain lenyewe. Ujamaa ulikufa long time. Hata NSSF walisharudisha pesa yao, lazima daraja liji-maintain lenyewe.
 
Tembea duniani uone ndio uanze kupiga kelele.
Hiyo dunia uliyotembea ni ipi?>
Nchi nyingi sana zina huu utaratibu na wewe ndio wa kwanza kushangaa.
Kweli ushamba ni mzigo mkubwa.
OTIS

mi cjakataa kuwa mshamba, ndio maana nikauliza ili mtu aliyetembea dunian kote kama wewe na mjuaji kama wewe uniambie. Tell me mr mjuaji, kwa hiyo nchi nyingine madaraja yanalipiwa? Wanalipaje? Kwa kila mtu au gar tu au inakuaje mr mjuaji?
 
mi cjakataa kuwa mshamba, ndio maana nikauliza ili mtu aliyetembea dunian kote kama wewe na mjuaji kama wewe uniambie. Tell me mr mjuaji, kwa hiyo nchi nyingine madaraja yanalipiwa? Wanalipaje? Kwa kila mtu au gar tu au inakuaje mr mjuaji?

Wanalipa kwa gari na kulingana na ukubwa wa gari. Siku hizi hata barabara ambazo hazina madaraja zina tolls za kulipia ndio sembuse madaraja? hata kuendesha gari city centre (congestion zone) unalipia except taxi ay daladala. Tena hii congestion zone inabidi ianzishwe Dar Es Salaam ili kupunguza foleni city centre.
 
Labda mimi sielewi! Sijawahi kusikia dunia hii kunanchi inatoza hela ya kutumia barabara au daraja, zaid ya kodi, fines. Hii ya daraja la kigambon kuja kulipia kila unapotumia/kupita mi naona haijakaa sawa. Kwan kodi tunazolipa zinafanya nn? Panton tunalipia sababu ya kulipia gharama za uendeshaji kama. Mafuta, spare nk. Sasa daraja tunatalipia kwa sababu gan? Jana nilikuwa nasikiliza BBC hadi mtangazaji akashangaa kusikia litakuwa la kulipia. Wana jf naomba mnieleweshe sababu ya kuja kulipia hilo daraja ni nn? Na je huo utaratibu kuna nchi nyingine unatumia? Na nin maana ya public goods?
Nawakilisha

Ngojeni daraja limalizike kujengwa ndio tunanze hizi propaganda, daraja ndio kwanza liko kwenye michoro tunataka kuanza kelele, kumnbuka inaweza wastua hata nssf wakaghaili kulijenga tena kama ilivyokuwa hapo awali
 
Kweli ushamba mzigo. Jamaa anajiamini kabisa eti hapa duniani hakuna wanakolipia barabara au madaraja.

Kubali hujawahi kutembea kokote. Barabara na madaraja ya namna hii yako mengi mno hata kutaja hapa itajaza pages.
 
In some instances, tolls have been removed after retirement of the toll revenue bonds issued to raise funds for construction and/or operation of the facility. Examples include the Robert E. Lee Memorial Bridge in Richmond, Virginia which carries U.S. Route 1 across the James River, and the 4.5-mile long James River Bridge 80 miles downstream which carries U.S. Highway 17 across the river of the same name near its mouth at Hampton Roads. In other cases, especially major facilities such as the Chesapeake Bay Bridge near Annapolis, Maryland, and the George Washington Bridge over Hudson River between New York City andNew Jersey, the continued collection of tolls provides a dedicated source of funds for ongoing maintenance and improvements.

Toll plaza at the Rainbow Bridge, Niagara County, New York U.S. Library of Congress

Sometimes citizens revolt against toll plazas, as was the case in Jacksonville, Florida. Tolls were in place on four bridges crossing the St. Johns River, including I-95. These tolls paid for the respective bridges as well as many other highway projects. As Jacksonvile continued to grow, the tolls created bottlenecks on the roadway. In 1988, Jacksonville voters chose to eliminate all the toll booths and replace the revenue with a ½ cent sales tax increase. In 1989, the toll booths were removed, 36 years after the first toll booth went up.

In Scotland, the Scottish Parliament purchased the Skye Bridge from its owners in late 2004, ending the requirement to pay an unpopular expensive toll to cross to Skye from the mainland.
 
Kuna chuma kinakuja kuhusu daraja la Kigamboni lakini bado tuna jadiliana kama majina yatajwe au la!

stay tuned...
 
na wale wanachama wa Nssf ambao hela zao ndio wanajengea ...watalipishwa?

Natumia simu ningekugongea like.

Nalia na NSSF hela zetu wanazifanyia biashara na kupata faida vp kuhusu devident(gawio) la sisi wadau(wachangiaji)? Katiba mpya lazima tuwabane hawa watu.
 
Back
Top Bottom