Hii imekaaje wana jf

mbutalikasu

Member
Jan 20, 2012
53
17
Napatwa na wasiwasi pale naibu wa spika anapomsaidia mwanasheria wa serikali kutoa ufafanuzi juu ya matusi yake dhidi ya tundu lisu hivi alichosema n/spika ndo alivyomaanisha =ag=kweli mie naona kama kamtusi live mh, tundu lisu wadau leteni mawazo tuchanganue
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom