Hii imekaaje?- Daraja la Mbutu/Igunga lisijengwe!!

masopakyindi

Platinum Member
Jul 5, 2011
17,857
13,140
Haya wanasheria wa vijiweni na mashabiki wa kisiasa naomba maoni yenu.

Kutokana na ukweli kuwa katika kesi ya ubunge Igunga , Mbunge wake Dr Kafumu ameangushwa kutokana na sababu nyingi.
Lakini sababu moja kubwa ilikuwa ahadi ya daraja la Mbutu, ahadi iliyotolewa na Waziri wa Miundombinu Dr Magufuli wakati wa kampeni.
Jaji aliyetoa hukumu hakugusia ujenzi wa daraja hilo ambalo sasa inaonekana dhahiri watu wa Igunga hawakustahili kujengewa.

Viongozi wa upinzani hasa Dr Slaa alikuwa Igunga jana, lakini yuko kimya juu ya hili.
Sasa nauliza ujenzi huu ukome kwa vile ulikuwa rushwa?

Wasalaam
 
Mradi Dr Slaa hajaongea lolote juu ya hili wana CDM hawawezi au hawaruhusiwi kufikiri juu ya suala hili.

Lakini hiyo sasa ni rushwa?
 
Haya wanasheria wa vijiweni na mashabiki wa kisiasa naomba maoni yenu.
Kutokana na ukweli kuwa katika kesi ya ubunge Igunga , Mbunge wake Dr Kafumu ameangushwa kutokana na sababu nyingi.Lakini sababu moja kubwa ilikuwa ahadi ya daraja la Mbutu, ahadi iliyotolewa na Waziri wa Miundombinu Dr Magufuli wakati wa kampeni.
J
aji aliyetoa hukumu hakugusia ujenzi wa daraja hilo ambalo sasa inaonekana dhahiri watu wa Igunga hawakustahili kujengewa.

Viongozi wa upinzani hasa Dr Slaa alikuwa Igunga jana, lakini yuko kimya juu ya hili.
Sasa nauliza ujenzi huu ukome kwa vile ulikuwa rushwa?


Wasalaam


kesi iyotoa hukumu ilikuwa ya kubatilisha uchaguzi igunga , kwa tuhuma za rushwa za kisiasa, kama ahadi za magufuli.lakini serikali hata bila kutoa ahadi za rushwa ya kisiasa, inatakiwa kuwatumikia wananchi wake na kuwaletea maendeleo.daraja ni mojawapo ya mikakati ilikuwa imepangwa hata kabla ya kampeni za kisiasa.Hivyo mahakama kwenye kesi iliyomwangusha kafumu, haiwezi kutoa zuio la utekelezwaji wake kosa lilikuwa kutolewa wakati wa kampeni.Ikumbukwe tayari serikali imetoa fedha na kuingia mikataba na wakandarasi wa ndani kujenga daraja hilo, na mikataba hiyo ni halali, hivyo mahakama haiwezi kuingilia mikataba halali iliyoingiwa.hivyo litandelea kujengwa bila tatizo.
 
[/FONT][/SIZE]
[/FONT][/SIZE]
kesi iyotoa hukumu ilikuwa ya kubatilisha uchaguzi igunga , kwa tuhuma za rushwa za kisiasa, kama ahadi za magufuli.lakini serikali hata bila kutoa ahadi za rushwa ya kisiasa, inatakiwa kuwatumikia wananchi wake na kuwaletea maendeleo.daraja ni mojawapo ya mikakati ilikuwa imepangwa hata kabla ya kampeni za kisiasa.Hivyo mahakama kwenye kesi iliyomwangusha kafumu, haiwezi kutoa zuio la utekelezwaji wake kosa lilikuwa kutolewa wakati wa kampeni.Ikumbukwe tayari serikali imetoa fedha na kuingia mikataba na wakandarasi wa ndani kujenga daraja hilo, na mikataba hiyo ni halali, hivyo mahakama haiwezi kuingilia mikataba halali iliyoingiwa.hivyo litandelea kujengwa bila tatizo.
hapa ndo tunapata undumila kuwili kwa \cdm.
Hapa sipati msimao wala falsafa ya wanachama wa CDM , wanataka kutumikiwa tu!
Kama wana nchi wa Igunga wanaona wameonewa katika kukubambikiwa mbunge basi wasiwe wanafiki, kwa kupitia chama chao wakane huu mradi ili waondokane na athari za rushwa.

Wana CDM JF najua hawachangii hapa maana wanajua wanasutwa na unafiki wao wenyewe pamoja na kushangilia maamuzi ya mahakama.
 
Ujenzi wa mradi huo unatokana na kodi ya watanzania wote wakiwemo wewe na wananchi wa igunga! Kama ni suala la rushwa, mbona tanzania tuna miradi mingi ya rushwa tunayoitumia ikiwemo rada?
 
Kuna mdau aliweka picha enelo hilo pamewekwa mawe kama ma lorry matatu tu... na hakuna kinachoendelea
 
Kuna mdau aliweka picha enelo hilo pamewekwa mawe kama ma lorry matatu tu... na hakuna kinachoendelea
Acha uongo!!
Unachofanya ndicho kinaitwa rumour mongering.
Nakuwekea picha iliyochukuliwa mnamo mwezi July 2012 juu ya maendeleo ya hapo kwenye mradi.
View attachment 62919
Katika background waweza kuona vifaa vya ujenzi kazini.
 
hapa ndo tunapata undumila kuwili kwa \cdm.
Hapa sipati msimao wala falsafa ya wanachama wa CDM , wanataka kutumikiwa tu!
Kama wana nchi wa Igunga wanaona wameonewa katika kukubambikiwa mbunge basi wasiwe wanafiki, kwa kupitia chama chao wakane huu mradi ili waondokane na athari za rushwa.

Wana CDM JF najua hawachangii hapa maana wanajua wanasutwa na unafiki wao wenyewe pamoja na kushangilia maamuzi ya mahakama.

KULA kwa CCM, KURA kwa CHADEMA. Pesa inayojenga daraja sio ya CCM, hivyo ilikuwa ni makosa kwa Magufuli kutoa ahadi kwa wapiga kura kuwa atajenga daraja kana kwamba pesa ni yake binafsi.
 
duuh?mkuu unanikumbusha mbali nimezaliwa sehemu moja inaitwa Mwanzugi sio mbali sana na igunga.
 
Hawa thithiem wana laana ya wtz,hawawezi kujitapa hadharani watajenga nn sijui ihali wanajua fedha ni kodi yetu.
 
hapa ndo tunapata undumila kuwili kwa \cdm.
Hapa sipati msimao wala falsafa ya wanachama wa CDM , wanataka kutumikiwa tu!
Kama wana nchi wa Igunga wanaona wameonewa katika kukubambikiwa mbunge basi wasiwe wanafiki, kwa kupitia chama chao wakane huu mradi ili waondokane na athari za rushwa.

Wana CDM JF najua hawachangii hapa maana wanajua wanasutwa na unafiki wao wenyewe pamoja na kushangilia maamuzi ya mahakama.

Ebwana vipi tena ubongo umeuwekea parandesi?
 
hapa ndo tunapata undumila kuwili kwa \cdm.
Hapa sipati msimao wala falsafa ya wanachama wa CDM , wanataka kutumikiwa tu!
Kama wana nchi wa Igunga wanaona wameonewa katika kukubambikiwa mbunge basi wasiwe wanafiki, kwa kupitia chama chao wakane huu mradi ili waondokane na athari za rushwa.

Wana CDM JF najua hawachangii hapa maana wanajua wanasutwa na unafiki wao wenyewe pamoja na kushangilia maamuzi ya mahakama.


tafadhali kuwa mwelewa huu ulikuwa ni mradi wa serikali kwa wanachi wake. magufuli alichokosea ni kusema msipokichagua CCM daraja hilo halitajengwa ikiwa inamaana pesa hizo zingehamishiwa sehemu nyingine kama si kwao Chato Kwa hiyo wanachi wa Igunga wa na haki kabisa na daraja hili na kama limesitishwa wanahaki kuhoji hiyo pesa iko wapi?
 
tafadhali kuwa mwelewa huu ulikuwa ni mradi wa serikali kwa wanachi wake. magufuli alichokosea ni kusema msipokichagua CCM daraja hilo halitajengwa ikiwa inamaana pesa hizo zingehamishiwa sehemu nyingine kama si kwao Chato Kwa hiyo wanachi wa Igunga wa na haki kabisa na daraja hili na kama limesitishwa wanahaki kuhoji hiyo pesa iko wapi?
Naelewa sana mkuu ndiyo maana nauliza hili limekaaje?
Jaji tayari kasema daraja hilo ni tunda la rushwa sasa tunda mwalipenda lakini hiyo rushwa je?

Jaji alikuwa mwoga kwa kutotoa maamuzi ya kusitisha ujenzi huo.
Nashangaa hata mlalamikaji mkuu wa CDM , DR Slaa hakufika site wala kusema lolote juu ya hili!
Huu ni unafiki.
 
Acha uongo!!
Unachofanya ndicho kinaitwa rumour mongering.
Nakuwekea picha iliyochukuliwa mnamo mwezi July 2012 juu ya maendeleo ya hapo kwenye mradi.
View attachment 62919
Katika background waweza kuona vifaa vya ujenzi kazini.
Soma vizuri nilichoandika kuna Mdau aliweka Picha eneo hilo Sasa uongo wangu ni kuhusu hiyo Picha? Wacha niitafute niiweke
 
Soma vizuri nilichoandika kuna Mdau aliweka Picha eneo hilo Sasa uongo wangu ni kuhusu hiyo Picha? Wacha niitafute niiweke
Ha ha ha!

Umekamatika mkuu, lete picha ya kusafisha uongo wako.
Lakinibado hujajibu swali langu.
 
cdm walipinga kitendo cha rushwa na si kudai hiyo rushwa.What if hiyo rushwa ilikuwa mapenzi ingedaiwa?By the way kuitoa ni kujenga uadui na raia tena, na daraja ni mradi wa manufaa.Yaani ni kama mtoto haramu vile huwa hauwawi na haitii furaha kuwazuia kuja kuwa superstar.
 
hapa ndo tunapata undumila kuwili kwa \cdm.
Hapa sipati msimao wala falsafa ya wanachama wa CDM , wanataka kutumikiwa tu!
Kama wana nchi wa Igunga wanaona wameonewa katika kukubambikiwa mbunge basi wasiwe wanafiki, kwa kupitia chama chao wakane huu mradi ili waondokane na athari za rushwa.

Wana CDM JF najua hawachangii hapa maana wanajua wanasutwa na unafiki wao wenyewe pamoja na kushangilia maamuzi ya mahakama.

masopakyindi mgumu wa kuelewa...hilo daraja hata angechanguliwa mgombea ya cdm lingejengwa tayari lilikwa kwenye budget....usifikiri hivi vitu wana plan jion vinafnyika asubuhi....hakukua na haja kwa waziri kurubuni watu...haihijai degree ya sheria kupambanua hapa
 
Back
Top Bottom