Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,033
- 79,020
kama JK anahudhuria huko kwenye mazishi ya Mh Mtema, na pia nina uhakika Rais wa mioyo yetu atakuwepo? Je picha litachezwa vp maana hamna uwezekano wa maziko kufanywa mara mbili...Je watapishana? Mie naomba Rais wa mioyo yetu ashikilie kamba asijibarague kama nafsi yake haijiskii maana tunajua sababu ya yeye kukataa kumtambua JK kama Rais halali! Ni hayo tu ukizingatia mpaka leo hii hatujapewa idadi kamili ya kura zilizohesabiwa uchaguzi 2010....! Hatutaki ile falsafa ya "hata mkisusa mie ndio Rais" itimie na kuridhisha nafsi ya JK...