Theodora
JF-Expert Member
- Dec 20, 2009
- 802
- 570
mjini umewasili lini?kwa treni ya reli ya kati au lori?
Just passing....
mjini umewasili lini?kwa treni ya reli ya kati au lori?
msimlaumu bure,pengine wapo wengi humu hawajui.si bora ya yeye kawa muwazi kwa kuuliza
Una miaka mingapi? Au niseme hivi wewe na Raheem Sterling yule mtoto wa miaka 17 pale Anfifield nani mmkubwa? Ukijibu nitakuwa katika nafasi ya kukushauriHabarini wangwana? Ni mara ya 1 mimi kukutana na mwanamke na hakika demu wangu game nilihisi ananizidi mautundu .kaniambia nimfanyie mambo mengii nikashindwa
Naomba kufundishwa Jinsi ya kufanya MASEJI?
mjini umewasili lini?kwa treni ya reli ya kati au lori?
Anza kwa kutafuta massage oil madukani.Naomba kufundishwa Jinsi ya kufanya MASEJI?
Anza kwa kutafuta massage oil madukani.
Halafu baada ya kuoga (kumuogesha, bila kusahau kumtawadha) na kumkausha maji, mlaze kitandani alalie tumbo.
Huku ukimtomasa tomasa na kumpa Maneno matamu, mdondoshee mafuta mgongoni (kumbuka uwe hujavaa kitu na umkalie mapajani bila kuput all the weight), anza na kumkanda shingo na mabega (usitumie nguvu nyingi, na usiache kummong'oneza masikioni). Muulize kama anaumia au uongeze nguvu kidogo.
Taratibu shuka mgongoni, mkamde ktkt ya mbavu, kama yuko selfish mkande kuelekea out, ili awe na mapenzi na watu, kama anajisahau yeye basi mkande inwards ili ajikumbuke.
Ongeza mafuta hadi kwenye backyard yake (yatiririshe), yafinyefinye mat.ko usitumie nguvu sana lkn.
Slide down ukae kwenye miguu ili ufanyie kazi mahips, then legs.
Mgeuze amalie back then anza na feet, toes, miguu, hips (ukiwa umemkalia kwenye kinena), then geuka cheza na kifua, mikono, kichwa (paji) la uso.
Unajua kinachofuatia! By the way how old are you? I hope umefikia right age na usisahau Condom.
Na mwisho kufanya mapenzi kabla na nje ya ndoa ni DHAMBI.
na kutawadhwa pia?lol
wewe ukianzisha massage pa lour sipati picha ..lol
Jamani hiyo massage ni ya mtu na mkewe sio Mteja na mfanya biashara!
Are you sure hupati picha, maana inaonekana picha ushaipata ndio maana ukaenda far. LOL
kumbe ni hivi!hebu nikajipinde mie!Anza kwa kutafuta massage oil madukani.
Halafu baada ya kuoga (kumuogesha, bila kusahau kumtawadha) na kumkausha maji, mlaze kitandani alalie tumbo.
Huku ukimtomasa tomasa na kumpa Maneno matamu, mdondoshee mafuta mgongoni (kumbuka uwe hujavaa kitu na umkalie mapajani bila kuput all the weight), anza na kumkanda shingo na mabega (usitumie nguvu nyingi, na usiache kummong'oneza masikioni). Muulize kama anaumia au uongeze nguvu kidogo.
Taratibu shuka mgongoni, mkamde ktkt ya mbavu, kama yuko selfish mkande kuelekea out, ili awe na mapenzi na watu, kama anajisahau yeye basi mkande inwards ili ajikumbuke.
Ongeza mafuta hadi kwenye backyard yake (yatiririshe), yafinyefinye mat.ko usitumie nguvu sana lkn.
Slide down ukae kwenye miguu ili ufanyie kazi mahips, then legs.
Mgeuze amalie back then anza na feet, toes, miguu, hips (ukiwa umemkalia kwenye kinena), then geuka cheza na kifua, mikono, kichwa (paji) la uso.
Unajua kinachofuatia! By the way how old are you? I hope umefikia right age na usisahau Condom.
Na mwisho kufanya mapenzi kabla na nje ya ndoa ni DHAMBI.
Dogo hata kama mjini umeletwa na mbio za mwinge hebu acha pupa, nenda kwa machangudoa ukajifunze kudinyana ndipo utafute demu wako mwenyewe
i need a massage from you lol...