Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
we ni choka mbaya kweli, kwa hiyo tuombe kifo kizuri sio?Iko vizuri tu. Inawezekana maiti iliokotwa kwahiyo hawajui alikufa lini. Ni vema ukakumbuka kuweka katika sala zako, kuomba kifo kizuri.....
KUMBUKA: Ombeni nayi mtapewa
tuombe nasi tutapewa..wale waimbaji wa kwetu pazuri unawakumbuka??walidai wamepamiss kwao mbinguni then jamaa akawachukua sasa na wewe omba uone
Mkuu Safari_ni_Safari umenikumbusha mbali sana kwa picha hiyo. Mahali hapo napafahamu vizuri, pamoja na mhusika pia.
Pole kaka....yalimsibu yepi Gilberto?