Hii ikoje: Analogi to digitali

Ok nimekupata lakini unaposema Modem inabadilisha data kwenye Audio naona unapotosha kabisa. Modem is about data .Modulation and demodulation ya data inaweza kuwa in form of ( Voice,Video, character)

Kwenye Connection ya Modem na Connection ya Simu... Modem inatuma signal za aina gani?

Yaani ili Modem ya position A (dar es salaam) through TTCL mpaka modem B (Mwanza)...., ziweze kuongea zinaongea kwa mfumo wa signal ya aina gani?
 
[/COLOR]

Maelezo rahisi:

Decoder:- An apparatus/hardware used to un-scramble/restore scrambled DIGITAL signals (Radio or TV).

Codec (Coder+Encoder ):-Software algorithm that is used to convert ANALOGUE voice/video signal into DIGITAL and vice-versa. Codecs vary in complexity, the more complex algorithm, the better the voice/video quality but the higher the latency caused by by longer signal processing time.
Mkuu hiyo ndio rahisi, naona hapo kuna technical terms nyingi sana algorithm, analogue..... Hapa inabidi mtu uongee katika layman terms not everyone is IT Literate...
 
Mkuu hiyo ndio rahisi, naona hapo kuna technical terms nyingi sana algorithm, analogue..... Hapa inabidi mtu uongee katika layman terms not everyone is IT Literate...

Kumbe ni technical sana, naomba usaidie basi haya maneno kwa kiswahili/lugha rahisi:
1:Algorithm
2:Analogue
3:Digital
 
Kwenye Connection ya Modem na Connection ya Simu... Modem inatuma signal za aina gani?

Yaani ili Modem ya position A (dar es salaam) through TTCL mpaka modem B (Mwanza)...., ziweze kuongea zinaongea kwa mfumo wa signal ya aina gani?
through TTCL unweza kuona ata Television sio lazima Audio tu

Kwa hiyo Modem ya postion A through TTCL mpaka mwanza B kazi yake ni kupitisha data Aina yeyote iwe ni (sauti picha,Video etc)

Ndio maana kama una badwidth ya kutosha unaweza kuona mechi online sababu Modem ina uwezo wa kumodulate data yeyote
 
Kwenye Connection ya Modem na Connection ya Simu... Modem inatuma signal za aina gani?

Yaani ili Modem ya position A (dar es salaam) through TTCL mpaka modem B (Mwanza)...., ziweze kuongea zinaongea kwa mfumo wa signal ya aina gani?

Mfumo ni DIGITAL: kumbuka zipo modems za aina nyingi hapo naona umelalia sana upande wa ISDN na ADSL modems (Hizi ni kwenye Wireline (kama simu za waya za TTCL) Circuit-Switched na Packet-Switched data networks lakini unaweza pia kutumia USB moderms kwenye wireless Packet-Switched data networks (kama 3G networks) kwa kazi hiyohiyo

Jinsi gani modem inafanya kazi ni vizuri kwanza ukaelewa basics na ningeshauri uanzie na kujua mpangilio wa layers za OSI model (Open System Interconnections) na TCP/IP stack.
 
through TTCL unweza kuona ata Television sio lazima Audio tu

Kwa hiyo Modem ya postion A through TTCL mpaka mwanza B kazi yake ni kupitisha data Aina yeyote iwe ni (sauti picha,Video etc)

Ndio maana kama una badwidth ya kutosha unaweza kuona mechi online sababu Modem ina uwezo wa kumodulate data yeyote
I know lakini modem inatokana na neno Modulation What is Modulation?

Ofcourse signal inaweza ikabadilishwa into any form ila swali langu ili ipite TTCL inabidi iwe converted katika signal inayoweza kupita kwenye line za simu, hata kwenye hizi fibre optics inaanisha itabidi iwe converted kwenye optical signal....

Kwa hiyo my point is Mkuu Data ya aina yoyote inaweza ikawa converted kuwa data ya aina nyingine ila kupita njia fulani lazima uwe aina fulani ya signal mfano huwezi kupita kwenye maji bila kuwa na boti na kwenye anga lazima uwe na ndege... kwahiyo mtu yoyote (data) anaweza akapita kwenye maji au anga, lakini kupita kwenye anga lazima atumie ndege na kwenye maji lazima atumie boti... kwahiyo kupita through Telephones lines lazima uwe converted into a certain signal....
 
Kumbe ni technical sana, naomba usaidie basi haya maneno kwa kiswahili/lugha rahisi:
1:Algorithm
2:Analogue
3:Digital

Mkuu hapa tuna complicate mambo mtu akikuuliza jinsi gari linavyofanya kazi unaweza kumwimbia in short sio mpaka uende deeply kwenye internal combustion thats what i did ila wewe sasa ukaenda deep badala ya kujibu swali ukaongezea maswali mengine mfano Algorithm kwahiyo kujibu swali moja unazaa lingine.
 
I know lakini modem inatokana na neno Modulation What is Modulation?

Ofcourse signal inaweza ikabadilishwa into any form ila swali langu ili ipite TTCL inabidi iwe converted katika signal inayoweza kupita kwenye line za simu, hata kwenye hizi fibre optics inaanisha itabidi iwe converted kwenye optical signal....

One of my best online encyclopedia for IT terms is webopedia.com

A modem is a device or program that enables a computer to transmit data over, for example, telephone or cable lines. Computer information is stored digitally, whereas information transmitted over telephone lines is transmitted in the form of analog waves. A modem converts between these two forms............ endelea hapa What is modem? - A Word Definition From the Webopedia Computer Dictionary

NB:
Data ni data iwe audio ,character video ni data.

USB modema
While the term USB modem refers to any type of data/fax/voice modem device which can be connected to a computer using USB, the term more commonly describes a specific portable USB device that looks similar to a USB flash drive and can be as small as 100 x 35 x 23mm in physical size and weigh only around 25grams . ...... What is USB modem? - A Word Definition From the Webopedia Computer Dictionary
Cable Modem
A modem designed to operate over cable TV lines. Because the coaxial cable used by cable TV provides much greater bandwidth than telephone lines, a cable modem can be used to achieve extremely fast access to the World Wide Web. This, combined with the fact that millions of homes are already wired for cable TV, has made the cable modem something of a holy grail for Internet and cable TV companies.......What is cable modem? - A Word Definition From the Webopedia Computer Dictionary
PCI Modem
A modem that plugs into a PCI bus and is controlled by a device driver. Other types of modems may use the older ISA bus slot. What is PCI modem? - A Word Definition From the Webopedia Computer Dictionary

NB
nadhni hii ni sawa na inbulit modem zilizopo kwenye Laptop na pc nyingi.
Sasasa kuhusu what is Modulation ni kitendo cha kuiformat data iweze kusafiri kwenye signal fulani au kutambulika na kifaa fulani . Kuna maneno kama AM na FM. ( Amplitude modulation na Frequency Modulation)

BTN kubali kuwa kuna maelezo yako haya chini ulikosea au umeyatoa source gani hiyo?
emodulator - modulator inabadilisha data kwenda kwenye audio ili ipite kwenye waya za simu...... and vice versa thats why kama unatumia dial - up unahitaji modem ili utumia mfumo kwa Simu...
 
hatutatupa tv zetu itatubidi tuwe na vingamuzi kama ilivyo kwa startimes, vinavyobadilisha mifumo. ila kwa digtal tv wao hawahitaji vingamuzi tv inakuwa fixed kingamuzi. nimemaliza.
 
Naomba Nitoe Mchango wangu kidogo kuhusu Masuala kadha wa kadha ambayo yamejitokeza katika huu Mjadala, Ningependa kwanza nitoe maana ya haya maneno katika lugha nyepesi

Nikianza na MODEM

MODEM imetokana na maneno mawili MODULATION na DEMODULATION

MODULATION:

Maana yake ni kubadilisha information kutoka katika Form moja kwenda nyingine ili kurahisisha Usafirishaji au Usomekaji wa Information ( That is simple definition)

DEMODULATION ni kinyume cha MODULATION yaani ni kubadilisha MODULATED data katika hali yake ya Zamani

kwa hiyo DEMODULATION na MODULATION ni VERB au Kitendo

MODEM ( Noun) ni Kifaa kinachoweza ku MODULATE na ku DEMODULATE


Niko hapa kujibu Maswali mbalimbali yahusuyo Telecommunication kwa Ujumla

Karibuni
 
Naomba Nitoe Mchango wangu kidogo kuhusu Masuala kadha wa kadha ambayo yamejitokeza katika huu Mjadala, Ningependa kwanza nitoe maana ya haya maneno katika lugha nyepesi

Nikianza na MODEM

MODEM imetokana na maneno mawili MODULATION na DEMODULATION

MODULATION:

Maana yake ni kubadilisha information kutoka katika Form moja kwenda nyingine ili kurahisisha Usafirishaji au Usomekaji wa Information ( That is simple definition)

DEMODULATION ni kinyume cha MODULATION yaani ni kubadilisha MODULATED data katika hali yake ya Zamani

kwa hiyo DEMODULATION na MODULATION ni VERB au Kitendo

MODEM ( Noun) ni Kifaa kinachoweza ku MODULATE na ku DEMODULATE


Niko hapa kujibu Maswali mbalimbali yahusuyo Telecommunication kwa Ujumla

Karibuni

Nataka kuanzisha huduma ya kupigsha simu kwa internet kwa gahrama nafuu kwa tanzania. Nimetegeneza program yangu kama skype tayari lakini sijui nifanyeyeje niwezeshe program yangu iwezeshe kuwa na VOIP .

NB
sitaki kutumia program za kuwatajirisha kampuni kama skype, smsdiscount ,nk Nataka mimi mwenyewe prog yangu ndio itumikke kupiga simu. Na programu ninayo tayari jisni ya kuwezsha kupiga simu na nini kinatakiwa ndio nieleweshe.

Natanguliza shukrani
 
Nataka kuanzisha huduma ya kupigsha simu kwa internet kwa gahrama nafuu kwa tanzania. Nimetegeneza program yangu kama skype tayari lakini sijui nifanyeyeje niwezeshe program yangu iwezeshe kuwa na VOIP .

NB
sitaki kutumia program za kuwatajirisha kampuni kama skype, smsdiscount ,nk Nataka mimi mwenyewe prog yangu ndio itumikke kupiga simu. Na programu ninayo tayari jisni ya kuwezsha kupiga simu na nini kinatakiwa ndio nieleweshe.

Natanguliza shukrani

Mkuu sina utaalamu sana wa Mambo ya Programming ila maadam JF ni kisiwa cha Elimu bila shaka Watakuja wataalumu watufahamishe vizuri ila ningekushauri kama Ikiwezekana Hilo Suala lako ungelianzishia topic nyingine ili lipate Attention!

Asante
 
Nataka kuanzisha huduma ya kupigsha simu kwa internet kwa gahrama nafuu kwa tanzania. Nimetegeneza program yangu kama skype tayari lakini sijui nifanyeyeje niwezeshe program yangu iwezeshe kuwa na VOIP .

NB
sitaki kutumia program za kuwatajirisha kampuni kama skype, smsdiscount ,nk Nataka mimi mwenyewe prog yangu ndio itumikke kupiga simu. Na programu ninayo tayari jisni ya kuwezsha kupiga simu na nini kinatakiwa ndio nieleweshe.

Natanguliza shukrani

Vizuri, kwa kifupi mapato yako bado yatategemeana na bei za call/SMS Terminations utakazopewa na Wholesale Termination providers na baada ya wewe kuweka margin yako katika retail prices zako kwa wateja.

That is, Kutotumia propretiary programs kutapunguza gharama ya kukodi/royalt au kununua hizo program toka kwa wenyewe (kama Skype, Fring n.k)..

Je unataka maelezo ya kiufundi ni jinsi gani hii huduma inavyoweza kuwa configured?
 
Mkuu sina utaalamu sana wa Mambo ya Programming ila maadam JF ni kisiwa cha Elimu bila shaka Watakuja wataalumu watufahamishe vizuri ila ningekushauri kama Ikiwezekana Hilo Suala lako ungelianzishia topic nyingine ili lipate Attention!

Asante

Ok powa ila sikumaanisha programing kwenye programing nimemaliza .Nime unga unga program za watu nilizopata kwenye mtandao nimepata prog inayofanana na skype au sms discpunt na ifanya kazi vizuri kabisa. Nachohitaji kuelewa ni nini nacho hitaji kuwezesha hii program yangu kuweza kufanya call/communication kwenye simu. Sasa sababu ulisema swali na telecommunication nilijua unaweza kunisaidia. thank you anyway . Nitaanzisha uzi maalum

Bantugbro said:
Vizuri, kwa kifupi mapato yako bado yatategemeana na bei za call/SMS Terminations utakazopewa na Wholesale Termination providers na baada ya wewe kuweka margin yako katika retail prices zako kwa wateja.

That is, Kutotumia propretiary programs kutapunguza gharama ya kukodi/royalt au kununua hizo program toka kwa wenyewe (kama Skype, Fring n.k)..

Je unataka maelezo ya kiufundi ni jinsi gani hii huduma inavyoweza kuwa configured?

Yes nataka kujua nahitaji nini kuwezesha software yangu iweze kutoa huduma za kupiga simu. kama connetion ya internt ninayo tayari

anyway kama alivyosema mtaalam hapo juu nitaanzisha uzi maalum kuulizia ushauri. nikimaliza vi ssiue fulani
 
Back
Top Bottom