Hii ikifanikiwa kwa 100% itakuwaje?

Konakali

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
1,533
263
Hii ni changamoto ya dunia yetu;

1. Kila mahali ukienda, idadi ya wanawake ni kubwa kuliko ya wanaume...!

2. Zaidi ya 50% ya watu hawa ni wakiristo, wanaopinga ndoa za wake wengi...!

3. Serikali za nchi nyingine kama Tanzania, hutambua mke mmoja kwa mume mmoja tu...!

4. Wanaume wenyewe wameanza kuchukuana wenyewe kwa wenyewe...!!!!, na kwa kila wanaume wawili waliochukuana, wanawake wawili wamekosa nafasi...!!!. Wengine huamua kutooa kabisa...!

5. Taasisi mbalimbali zimeanza kuendesha kampeni za kusihi walio katika mahusiano kuwa waaminifu katika mahusiano yao...! Hii ni habari njema, tena yenye baraka kwa Mungu, lakini ikitokea kampeni hizi zikafanikiwa kwa 100%, wanawake wengine watahudumiwa wapi?
 
kwa takwimu hiyo nyumba ndogo haziwezi kuisha
The irony of it all, hata hao wenye kutaka kuwa na wake/wanawake wengi siyo lazima ati huwalenga wanawake single!

Polygamy/mitala siyo suluhisho la kuongezeka kwa idadi ya wanawake au kuwepo kwa idadi ndogo ya wanaume.
 
Hii ni changamoto ya dunia yetu;

1. Kila mahali ukienda, idadi ya wanawake ni kubwa kuliko ya wanaume...!

2. Zaidi ya 50% ya watu hawa ni wakiristo, wanaopinga ndoa za wake wengi...!

3. Serikali za nchi nyingine kama Tanzania, hutambua mke mmoja kwa mume mmoja tu...!

4. Wanaume wenyewe wameanza kuchukuana wenyewe kwa wenyewe...!!!!, na kwa kila wanaume wawili waliochukuana, wanawake wawili wamekosa nafasi...!!!. Wengine huamua kutooa kabisa...!

5. Taasisi mbalimbali zimeanza kuendesha kampeni za kusihi walio katika mahusiano kuwa waaminifu katika mahusiano yao...! Hii ni habari njema, tena yenye baraka kwa Mungu, lakini ikitokea kampeni hizi zikafanikiwa kwa 100%, wanawake wengine watahudumiwa wapi?

Mkuu bila shaka umeona mbali, japo checki vizuri hiyo 3, Naamini Tanzania tunatambua ndoa za mke zaidi ya mmoja (Vyeti vya ndoa TZ vina option -huenda ikawa ya mke zaidi ya mmoja !)
 
Mkuu bila shaka umeona mbali, japo checki vizuri hiyo 3, Naamini Tanzania tunatambua ndoa za mke zaidi ya mmoja (Vyeti vya ndoa TZ vina option -huenda ikawa ya mke zaidi ya mmoja !)

Hivyo niliitambu, lakini ukiajiriwa na serikali ya Tanzania na ukawa mtumishi, anayestahili kupata baadhi za benefits za utumishi wako, kama vile nauli za kwenda likizo na sehemu za kazi na uhamisho, bima ya afya, n.k, ni mmoja tu. Wengine sawa hutambuliwa kama wake zako, lakini si kwa kupata haki zingine kama mke wa mtumishi...! Aidha, bado tujiulize itakuwaje iwapo hizi kampeni zitafanikiwa?
 
Tunaomba ifanikiwe 100% wanaume tuwe na soko kubwa hasa tulio single
 
Mkuu unajua kufikiri. Nami siku moja niliwahi kujiuliza mbona idadi ya akina mama ni kubwa kuliko kina baba? hebu cheki kila mahali especially kwenye mikusanyiko, eg sokoni, makanisani, kwenye sherehe n.k. Hii ni changamoto. nadhani inabidi tafiti zifanyike ili zishauri jinsi ya kufanya, vinginevyo wadada itakuja fikia kiwango cha kuanza kuwaibia wenzao wenye ma- partners!
 
Hili swala la kusema kuwa Mungu hapendi ndoa nyingi ni uongo! Kwenye Biblia ni sehemu nyingi sana tunaona mifano ya polygamy! It seems to be a society value thing. Kwa hiyo inabadilika kutokana na wakati.
On one hand...kuwa na wake wengi ni ku-objectify wanawake...au sio? But then...it means one k for the rest of ur life. Na unaambiwa kuwa kuna kila k ni tofauti. Sasa kuwa na mke mmoja kweli hiyo haki?
 
Back
Top Bottom