Ozzie
JF-Expert Member
- Oct 9, 2007
- 3,217
- 1,259
Kuna madaktari ambao wameingizwa kwenye payroll kwa mwezi machi mwaka huu, cha kushangaza wamewekewa shilingi laki mbili kila mmoja kama mshahara katika akaunti zao. Bila kujali viwango wanavyopaswa kulipwa, kila mtu kapewa kiasi hicho (ingawa kima cha chini take home inatakiwa kuwa angalau laki 5 baada ya makato). Wizara ya afya inadai kuwa mshahara huo umetoka hazina hivyo hivyo. Inadaiwa huwa ni vigumu kuomba kurudishiwa kiasi hicho walichokipiga panga.