Hii familia yetu ikoje? Am confused! mnisaidie

me namshangaa sana mtoa mada, wakati anataka kumuoa ummu kuluthumu nilimpatia baraka zote. cha ajabu me kutaka kuolewa na MtotoSix anaweka kauzibe. wanajamvi hebu nipeni tafsiri ya hili make sielewi elewi ati!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Anti, hivi mtu alie wahi kua shemeji yako (Mfano RR), halafu
wewe na uncle Kaizer mkaachana (Mungu apishe mbali)
RR anaendelea kua shemeji yako? Hili swali ningependa hata Asprin alijibu.
Maana kama ni hivo, basi weka hapo juu kua Saint Ivuga aliwahi kunitongoza,
akataka kuleta na posa ila Uncle akakataa. Hivo anakuja kwenye level ya nephews.

Rule # inasemaje Mwali? Kizuri kula na nduguyo.
 
Last edited by a moderator:
Naona sina pa kuanzia....ngoja nisubiri watu wapige mbio za kanyaga twende...ntasimamisha katikati ya barabara
 
Shemeji yangu AshaDii popote pale ulipo........ Naomba kukufahamisha rasmi kuwa mimi ODM nina wake watatu ambao ni Yummy, cacico na BADILI TABIA. Hawa wote wako chini ya uangalizi wa Kongosho asali ya ODM. Nadhani pia unajua nina mchumba wa siku nyingi Zion Daughter.

Nimefanikiwa kupata wajukuu wapya princess enny, charminglady, Catherine na ummu kulthum. Hawa wote wako kwenye foleni ya ukaguzi. Bado sijawakagua, si wajua umri ushaenda huu? Pia napenda kukufahamisha kuwa kuna mkongwe amejitokeza ambaye bado pia sijamkagua, anaitwa Madame B. Huyu anaelekea ni mjuvi wa mambo kiasi kwamba ukaguzi wake ntahitaji ushauri wa wake zangu.

Kama unavyojua nina homeboys wangu Kaizer, RR, Kimey, Bigirita, KARIA, na Mentor. Hawa wote nshawakabizi wajukuu zangu (Usijali, Kaizer kishaoa mjukuu gfsonwin nlomkabidhi japokuwa muda si mrefu ntamkabidhi mwaJ ili kama unaona itafaa umpe kibali aoe kabisa)

Usisahau pia nina wajukuu zangu waziwanda..... Mjukuu mtiifu MwanajamiiOne na Mjukuu Mteule afrodenzi.

Afu sasa kuna makomredi na wazee wenzangu TIMING, Dark City, Fidel80 na Bishanga. Kama kuna vibinti vinahitaji malezi ya wazee huko kwenu, chagua mmoja wapo kati ya hawa.

Kuna vijana wangu naowaandaa kwenye kunirithi kazi ya ukaguzi..... BAGAH, Erickb52, Judgement na Mr Rocky. Mmoja wao lazima akamate kiti changu, japokuwa naona kama BAGAH kinamnyemelea zaidi.

Mwisho napenda kukufahamisha kuwa mai fellow tablet klorokwini yuko mpakani ziwa Nyasa akijiandaa kuyarudisha nyuma majeshi ya kamanda mama anayetaka kutunyamg'anya maji yetu.

Ukimwona Roulette, Mwali na King'asti, waambie nawamisi sana na wanakaribishwa kwenye familia yangu.
 
Last edited by a moderator:
sisemi neno mie...



Shemeji yangu AshaDii popote pale ulipo........ Naomba kukufahamisha rasmi kuwa mimi ODM nina wake watatu ambao ni Yummy, cacico na BADILI TABIA. Hawa wote wako chini ya uangalizi wa Kongosho asali ya ODM. Nadhani pia unajua nina mchumba wa siku nyingi Zion Daughter.

Nimefanikiwa kupata wajukuu wapya princess enny, charminglady, Catherine na ummu kulthum. Hawa wote wako kwenye foleni ya ukaguzi. Bado sijawakagua, si wajua umri ushaenda huu? Pia napenda kukufahamisha kuwa kuna mkongwe amejitokeza ambaye bado pia sijamkagua, anaitwa Madame B. Huyu anaelekea ni mjuvi wa mambo kiasi kwamba ukaguzi wake ntahitaji ushauri wa wake zangu.

Kama unavyojua nina homeboys wangu Kaizer, @RR, Kimey, Bigirita, KARIA, na Mentor. Hawa wote nshawakabizi wajukuu zangu (Usijali, Kaizer kishaoa mjukuu gfsonwin nlomkabidhi japokuwa muda si mrefu ntamkabidhi mwaJ ili kama unaona itafaa umpe kibali aoe kabisa)

Usisahau pia nina wajukuu zangu waziwanda..... Mjukuu mtiifu MwanajamiiOne na Mjukuu Mteule afrodenzi.

Afu sasa kuna makomredi na wazee wenzangu TIMING, Dark City, Fidel80 na Bishanga. Kama kuna vibinti vinahitaji malezi ya wazee huko kwenu, chagua mmoja wapo kati ya hawa.

Kuna vijana wangu naowaandaa kwenye kunirithi kazi ya ukaguzi..... BAGAH, Erickb52, Judgement na Mr Rocky. Mmoja wao lazima akamate kiti changu, japokuwa naona kama BAGAH kinamnyemelea zaidi.

Mwisho napenda kukufahamisha kuwa mai fellow tablet klorokwini yuko mpakani ziwa Nyasa akijiandaa kuyarudisha nyuma majeshi ya kamanda mama anayetaka kutunyamg'anya maji yetu.

Ukimwona Roulette, Mwali na King'asti, waambie nawamisi sana na wanakaribishwa kwenye familia yangu.
 
Mmmh! Asante kwa mualiko babu. Familia yako naiogopa. Lakini naipenda sana tu.
Shemeji yangu AshaDii popote pale ulipo........ Naomba kukufahamisha rasmi kuwa mimi ODM nina wake watatu ambao ni Yummy, cacico na BADILI TABIA. Hawa wote wako chini ya uangalizi wa Kongosho asali ya ODM. Nadhani pia unajua nina mchumba wa siku nyingi Zion Daughter.

Nimefanikiwa kupata wajukuu wapya princess enny, charminglady, Catherine na ummu kulthum. Hawa wote wako kwenye foleni ya ukaguzi. Bado sijawakagua, si wajua umri ushaenda huu? Pia napenda kukufahamisha kuwa kuna mkongwe amejitokeza ambaye bado pia sijamkagua, anaitwa Madame B. Huyu anaelekea ni mjuvi wa mambo kiasi kwamba ukaguzi wake ntahitaji ushauri wa wake zangu.

Kama unavyojua nina homeboys wangu Kaizer, RR, Kimey, Bigirita, KARIA, na Mentor. Hawa wote nshawakabizi wajukuu zangu (Usijali, Kaizer kishaoa mjukuu gfsonwin nlomkabidhi japokuwa muda si mrefu ntamkabidhi mwaJ ili kama unaona itafaa umpe kibali aoe kabisa)

Usisahau pia nina wajukuu zangu waziwanda..... Mjukuu mtiifu MwanajamiiOne na Mjukuu Mteule afrodenzi.

Afu sasa kuna makomredi na wazee wenzangu TIMING, Dark City, Fidel80 na Bishanga. Kama kuna vibinti vinahitaji malezi ya wazee huko kwenu, chagua mmoja wapo kati ya hawa.

Kuna vijana wangu naowaandaa kwenye kunirithi kazi ya ukaguzi..... BAGAH, Erickb52, Judgement na Mr Rocky. Mmoja wao lazima akamate kiti changu, japokuwa naona kama BAGAH kinamnyemelea zaidi.

Mwisho napenda kukufahamisha kuwa mai fellow tablet klorokwini yuko mpakani ziwa Nyasa akijiandaa kuyarudisha nyuma majeshi ya kamanda mama anayetaka kutunyamg'anya maji yetu.

Ukimwona Roulette, Mwali na King'asti, waambie nawamisi sana na wanakaribishwa kwenye familia yangu.
 
Last edited by a moderator:
Shemeji yangu AshaDii popote pale ulipo........ Naomba kukufahamisha rasmi kuwa mimi ODM nina wake watatu ambao ni Yummy, cacico na BADILI TABIA. Hawa wote wako chini ya uangalizi wa Kongosho asali ya ODM. Nadhani pia unajua nina mchumba wa siku nyingi Zion Daughter.

Nimefanikiwa kupata wajukuu wapya princess enny, charminglady, Catherine na ummu kulthum. Hawa wote wako kwenye foleni ya ukaguzi. Bado sijawakagua, si wajua umri ushaenda huu? Pia napenda kukufahamisha kuwa kuna mkongwe amejitokeza ambaye bado pia sijamkagua, anaitwa Madame B. Huyu anaelekea ni mjuvi wa mambo kiasi kwamba ukaguzi wake ntahitaji ushauri wa wake zangu.

Kama unavyojua nina homeboys wangu Kaizer, @RR, Kimey, Bigirita, KARIA, na Mentor. Hawa wote nshawakabizi wajukuu zangu (Usijali, Kaizer kishaoa mjukuu gfsonwin nlomkabidhi japokuwa muda si mrefu ntamkabidhi mwaJ ili kama unaona itafaa umpe kibali aoe kabisa)

Usisahau pia nina wajukuu zangu waziwanda..... Mjukuu mtiifu MwanajamiiOne na Mjukuu Mteule afrodenzi.

Afu sasa kuna makomredi na wazee wenzangu TIMING, Dark City, Fidel80 na Bishanga. Kama kuna vibinti vinahitaji malezi ya wazee huko kwenu, chagua mmoja wapo kati ya hawa.

Kuna vijana wangu naowaandaa kwenye kunirithi kazi ya ukaguzi..... BAGAH, Erickb52, Judgement na Mr Rocky. Mmoja wao lazima akamate kiti changu, japokuwa naona kama BAGAH kinamnyemelea zaidi.

Mwisho napenda kukufahamisha kuwa mai fellow tablet klorokwini yuko mpakani ziwa Nyasa akijiandaa kuyarudisha nyuma majeshi ya kamanda mama anayetaka kutunyamg'anya maji yetu.

Ukimwona Roulette, Mwali na King'asti, waambie nawamisi sana na wanakaribishwa kwenye familia yangu.
khaaaaa hiii familia balaa!! ndio maana naipenda sana!!
 
Shemeji yangu AshaDii popote pale ulipo........ Naomba kukufahamisha rasmi kuwa mimi ODM nina wake watatu ambao ni Yummy, cacico na BADILI TABIA. Hawa wote wako chini ya uangalizi wa Kongosho asali ya ODM. Nadhani pia unajua nina mchumba wa siku nyingi Zion Daughter.

Nimefanikiwa kupata wajukuu wapya princess enny, charminglady, Catherine na ummu kulthum. Hawa wote wako kwenye foleni ya ukaguzi. Bado sijawakagua, si wajua umri ushaenda huu? Pia napenda kukufahamisha kuwa kuna mkongwe amejitokeza ambaye bado pia sijamkagua, anaitwa Madame B. Huyu anaelekea ni mjuvi wa mambo kiasi kwamba ukaguzi wake ntahitaji ushauri wa wake zangu.

Kama unavyojua nina homeboys wangu Kaizer, @RR, Kimey, Bigirita, KARIA, na Mentor. Hawa wote nshawakabizi wajukuu zangu (Usijali, Kaizer kishaoa mjukuu gfsonwin nlomkabidhi japokuwa muda si mrefu ntamkabidhi mwaJ ili kama unaona itafaa umpe kibali aoe kabisa)

Usisahau pia nina wajukuu zangu waziwanda..... Mjukuu mtiifu MwanajamiiOne na Mjukuu Mteule afrodenzi.

Afu sasa kuna makomredi na wazee wenzangu TIMING, Dark City, Fidel80 na Bishanga. Kama kuna vibinti vinahitaji malezi ya wazee huko kwenu, chagua mmoja wapo kati ya hawa.

Kuna vijana wangu naowaandaa kwenye kunirithi kazi ya ukaguzi..... BAGAH, Erickb52, Judgement na Mr Rocky. Mmoja wao lazima akamate kiti changu, japokuwa naona kama BAGAH kinamnyemelea zaidi.

Mwisho napenda kukufahamisha kuwa mai fellow tablet klorokwini yuko mpakani ziwa Nyasa akijiandaa kuyarudisha nyuma majeshi ya kamanda mama anayetaka kutunyamg'anya maji yetu.

Ukimwona Roulette, Mwali na King'asti, waambie nawamisi sana na wanakaribishwa kwenye familia yangu.
u have spoken well my husband! u have said it all NNAI!!
 
Dah... Hii kali! hahaha!

Platozoom haitakiwi uchokoe sana muunganiko wa huo undugu ukoje, mwisho hata mwanangu ulie mposa utashindwa kumuoa baada ya kugungua wewe pia ni mwanangu. Kama unavoelea tena jamii zetu za kiafrika wanaume wengi wana mke mkubwa na mdogo. Kutambua kwangu hilo lilininya niombe ruhusa kwa baba watoto (@Kaizer) nipumzike na nimtafutie mke mwingine, mdogo, mbichi ila mwenye maadili ya mabusara ambae ni gfsonwin.

Ndio maana bila hiyana nimewaambia kuwa mtoto Ronn M aletwe nilee mimi, wao kazi yako ni kufurahishana huku wanajijenga sababu wote ni wafanya kazi hodari. Na mimi sababu mama wa nyumbani nitalea na kuangalia budget inaenda vipi kwa malengo ya kuwa na maisha ya uhakika hadi huko mbele. Hivo natangaza rasmi saa hivi mke wa baba watoto wangu Kaizer ni mume rasimi wa gfsonwin... mimi napumzika sasa.

Ndugu zangu ni wengi saana karibu kila mtu hapa nimeungana nae kwa damu au ndiko watoto wamtoa damu yao huko...

Nina niece zangu Mwali, @Husnyinyo, Elizabeth Dominic, Golden Mpolee na mwingine atakae taka

Nina wifi zangu wa ukweli King'asti, sweetlady na pia nimetambulishwa Catherine ambae kaolewa na Mentor na wamebahatika kumpata mtoto anaitwa Beibenasty ambae ataongezeka kwenye list ya ma niece.

Wadogo na kaka zangu @Merrita, Smile, Cantalisia, MwanajamiiOne, daughter, Mayasa, Young Master (ambae leo hii ana BD ) Vin Diesel, Ritz, Matola, Mwita Maranya, Bigirita, Eiyer, na Mentor. Kaka ambae tumezaliwa tumbo moja ni Steve Dii.

Marafiki WomanOfSubstance, Roulette, Kaunga, Ndahani, Azimiojipya, EMT, Manyanza, Mwita Maranya, Preta na mumewe mpya Bishanga, PakaJimmy, The Boss, Belinda Jacob, afrodenzi, Paw, Gaga, Mr Rocky... na wengine wengi sana kuwataja.

Nina shemeji zangu akina Asprin, Kimey, @R R, fazaa, TIMING, The Finest (ambae ni more of a brother), Fidel80

Nina my ego ambae yeye ni moderator maarufu kwa jina la Roulette.

kuna wengine nashindwa hata elewa ni nani anymore...lol. Mfano Judgement ambae alikuwa kaoa niece wangu @Husnynyo

Kuna wake wenzangu, Kongosho, Zion Daughter, gfsonwin, then nasikia pia kuna cacico. shemeji familia upande wa mume wanaoa kila siku! lol hivo inawezekana kabisa tupo zaidi ya hapo.

Nina anty yangu Mamndenyi na Mzee wangu Dark City.f

Nina watani wangu pia lol, Nyani Ngabu


Take note sijamaliza; wengine nitamalizia baada ya mapumziko.
LIWALO NA LIWE!
Hii familia imekuwa si extended bali expanded family.
Na kweli kabisa uwezekano wa kuwowa mtu na dadake umo hapa!...lol!
 
Shemeji yangu AshaDii popote pale ulipo........ Naomba kukufahamisha rasmi kuwa mimi ODM nina wake watatu ambao ni Yummy, cacico na BADILI TABIA. Hawa wote wako chini ya uangalizi wa Kongosho asali ya ODM. Nadhani pia unajua nina mchumba wa siku nyingi Zion Daughter.

Nimefanikiwa kupata wajukuu wapya princess enny, charminglady, Catherine na ummu kulthum. Hawa wote wako kwenye foleni ya ukaguzi. Bado sijawakagua, si wajua umri ushaenda huu? Pia napenda kukufahamisha kuwa kuna mkongwe amejitokeza ambaye bado pia sijamkagua, anaitwa Madame B. Huyu anaelekea ni mjuvi wa mambo kiasi kwamba ukaguzi wake ntahitaji ushauri wa wake zangu.

Kama unavyojua nina homeboys wangu Kaizer, RR, Kimey, Bigirita, KARIA, na Mentor. Hawa wote nshawakabizi wajukuu zangu (Usijali, Kaizer kishaoa mjukuu gfsonwin nlomkabidhi japokuwa muda si mrefu ntamkabidhi mwaJ ili kama unaona itafaa umpe kibali aoe kabisa)

Usisahau pia nina wajukuu zangu waziwanda..... Mjukuu mtiifu MwanajamiiOne na Mjukuu Mteule afrodenzi.

Afu sasa kuna makomredi na wazee wenzangu TIMING, Dark City, Fidel80 na Bishanga. Kama kuna vibinti vinahitaji malezi ya wazee huko kwenu, chagua mmoja wapo kati ya hawa.

Kuna vijana wangu naowaandaa kwenye kunirithi kazi ya ukaguzi..... BAGAH, Erickb52, Judgement na Mr Rocky. Mmoja wao lazima akamate kiti changu, japokuwa naona kama BAGAH kinamnyemelea zaidi.

Mwisho napenda kukufahamisha kuwa mai fellow tablet klorokwini yuko mpakani ziwa Nyasa akijiandaa kuyarudisha nyuma majeshi ya kamanda mama anayetaka kutunyamg'anya maji yetu.

Ukimwona Roulette, Mwali na King'asti, waambie nawamisi sana na wanakaribishwa kwenye familia yangu.


Babu umefunga kazi......ila nakuomba kwenye hiyo list yako ya kuwarithisha ukaguzi umtoe Mr Rocky tafadhali sana hafai kabisa yani hana hivyo vigezo,wataishia kumkagua yeye. Si eti sweetlady huyu Mr Rocky atolewe tu aingie kwenye mjukuu yakinifu....lol
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom