GM7
JF-Expert Member
- Jun 26, 2009
- 492
- 24
Mara nyingi sana tarehe ya mwisho wa kutumika kwa bidhaa za chakula na vinywaji inaangaliwa sana na imekuwa printed. Sasa hivi jana alikuja mzungu mmoja kununua vocha ya simu ya Airtel, yeye cha kwanza kabisa akaangalia expiring date ya kwenye ile vocha akakuta imeandikwa 30/11/2010. Sasa hapo ndipo mabishano kati ya mzungu na mwafrika yalipoanza.
Mzungu: Hii hapana bwana imeexpire nipe nyingine.
Mimi: Kampuni ya Airtel ilisogeza mbele muda wa kutumika kwa hizi vocha kwa sababu vocha nyingi zilikuwa hazijaisha na bado ziko sokoni, na hapo inafanyakazi kama kawaida usiwe na wasiwasi.
Mzungu: Hapana wewe mwizi hii vocha imeexpire veve kwanini unauza.
Mabishano haya yalichukua takribani dakika 5 hivi. Ndipo nikaamua kumpa mzungu wa vocha za sh.1000 tano badala ya sh. 5000 ya pamoja. Kazi kweli kweli yaani jamaa hawakubali hata kuelimishwa wao wanachojali mbona imeandikwa mwisho wa matumizi yake na hawaki kwa mdomo.
Mzungu: Hii hapana bwana imeexpire nipe nyingine.
Mimi: Kampuni ya Airtel ilisogeza mbele muda wa kutumika kwa hizi vocha kwa sababu vocha nyingi zilikuwa hazijaisha na bado ziko sokoni, na hapo inafanyakazi kama kawaida usiwe na wasiwasi.
Mzungu: Hapana wewe mwizi hii vocha imeexpire veve kwanini unauza.
Mabishano haya yalichukua takribani dakika 5 hivi. Ndipo nikaamua kumpa mzungu wa vocha za sh.1000 tano badala ya sh. 5000 ya pamoja. Kazi kweli kweli yaani jamaa hawakubali hata kuelimishwa wao wanachojali mbona imeandikwa mwisho wa matumizi yake na hawaki kwa mdomo.