Hebu nisaidieni jamani hii course ya BACHELOR OF PUBLIC ADMINISTRATION IN RECORDS AND ARCHIEVES MANAGEMENT ina soko tz na hawa watu wanafanya kazi gani na wapi?
Masijala, utakuwa mmbeba files, unahakikisha ya kuwa file lipo kwenye sehemu husika, utatakiwa kuwa na afya njema ikizingatiwa ya kuwa ofisi nyingi ni ghorofa...utapanda ngazi na kushuka mpaka.....File likiwa misplaced wewe ndiwe mchawi....utatafuta mpaka ulione..n.k
Ni course nzuri sana na ina market and well paying kama utabahatika kupata kazi kwenye UN org. go for it maana wanaosoma hii course ni wachache sana. unatakiwa uwe mtunza siri mzuri pia. maana records zote za organisation zitakua chini yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.