Hii bank imenitisha!!!wapendwa

Hebu kuwa transparent, hakuna haja ya kuficha! mtaje huyo BM wao na yuko Branch gani yawezekana yeye labda ndo ana vyeti feki hivyo utakuwa umetoa msaada mkubwa kwao! Lakini kila mwajiri ana haki ya kutoa ajira kwa mtu anayemuhitaji? mbona serikarini kuna mpaka darasa la saba?

Yaani huna hata aibu mpendwa.Wewe si ulifukuzwa kwasababu ya kuomba wateja rushwa!!!!.Yaani watu wengine bwana huyu jamaa aliandika hii article ninamfahamu sana kwanza alikuwa na tabia ya kuomba wateja rushwa ili atoe mikopo this are kind of people muwaelewe watanzania tumekosa maadili kweli.Tunabaki kulaumu ufisadi wakati wenyewe hatuna morals.Najua atajustify mshaahara mdogo ndio maana aliomba rushwa na rushwa ya ngono kwa wake za watu je????.Huyu jamaa jina namfahamu,alipo sasa namfahamu na reasons za kutimuliwa access bank tunazifahamu.Jina tunalihifadhi if he has the gut let him deny it now.Kama sijamweka hadharani na pia kuanika reasons za wewe kutimuliwa ABT ikiwemo ...... i reserve it for now.He is envious of the place kwasababu they fired him
 
Yaani huna hata aibu mpendwa.Wewe si ulifukuzwa kwasababu ya kuomba wateja rushwa!!!!.Yaani watu wengine bwana huyu jamaa aliandika hii article ninamfahamu sana kwanza alikuwa na tabia ya kuomba wateja rushwa ili atoe mikopo this are kind of people muwaelewe watanzania tumekosa maadili kweli.Tunabaki kulaumu ufisadi wakati wenyewe hatuna morals.Najua atajustify mshaahara mdogo ndio maana aliomba rushwa na rushwa ya ngono kwa wake za watu je????.Huyu jamaa jina namfahamu,alipo sasa namfahamu na reasons za kutimuliwa access bank tunazifahamu.Jina tunalihifadhi if he has the gut let him deny it now.Kama sijamweka hadharani na pia kuanika reasons za wewe kutimuliwa ABT ikiwemo ...... i reserve it for now.He is envious of the place kwasababu they fired him
Mshahara mbuzi..thats the bottom line..
 
Mshahara mbuzi..thats the bottom line..

:painkiller: Nimefuatilia sana huu mjadala lakini ninachoweza kusema ni kwamba graduates wa Tanzania tunatatizo kubwa..... mtu anatoka chuo anataka mshahara mkubwa , kumiliki gari na vitu kama hivyo ....!!tengeneza career kwanza ili ujiuze kwafaida sokoni. Hili ni soko huria kinachokuuza sio Degree or masters ni ujuzi ulio nao. Ndio maana tunawasomi wengi wanazagaa mtaani na wanaishia kukaa vijiweni wakisubiri kazi za milioni moja mbili amabazo haziji..., "small is better than nothing" ndugu zangu, kidogo mnacho kikataa watakuja wenzenu wakenya na waganda watachukua na kupata ujuzi then watawazibia kabisa zile kubwa ( maana mtabaki mnalalamika , ujuzi hamna na siku hazigandi)

Wenzetu western wako very strategic - my self i have met with several guys from europe and some are my friends,some have degrees and some masters . Yet most of them were coming to volunteer here in Tanzania and other third world countries for free. But what they teld me ......they are enriching their CVs to hit labour market at home. Its pity if a fresh graduate get a relevant job then quit just because of pay , then accept front desk job because its paying more for 100,000 or 200,000 ....!!???

Guyz let think positive and strategicaly, take the relevant job regardless of pay, learn the skills and gain competence then hit the market and sell yourself .....!!! this is free market we are sellig our labour and capitalists takes those who sells relavent skills not Vyeti vilivyochachuliwa......!!!! I have met with some graduates ambao hata kujieleza ni tabu..... lakini ndio hao wanataka mshahara milioni.........

Nyerere aliwahi kutoa rai kwa wasomi chuo kikuu kwamba " if you think being a graduate is posting your certificates on wall at home , then your education has not enlighted you ......!!

If you are a graduate do not be such a selfish enough to think your brothers and sisters who have not suceeded to reach colege and universities are dumb and can not work ....... for your information there are form six leavers who are twice beter that some graduates ....TCHAO.
 
:painkiller: Nimefuatilia sana huu mjadala lakini ninachoweza kusema ni kwamba graduates wa Tanzania tunatatizo kubwa..... mtu anatoka chuo anataka mshahara mkubwa , kumiliki gari na vitu kama hivyo ....!!tengeneza career kwanza ili ujiuze kwafaida sokoni. Hili ni soko huria kinachokuuza sio Degree or masters ni ujuzi ulio nao. Ndio maana tunawasomi wengi wanazagaa mtaani na wanaishia kukaa vijiweni wakisubiri kazi za milioni moja mbili amabazo haziji..., "small is better than nothing" ndugu zangu, kidogo mnacho kikataa watakuja wenzenu wakenya na waganda watachukua na kupata ujuzi then watawazibia kabisa zile kubwa ( maana mtabaki mnalalamika , ujuzi hamna na siku hazigandi)

Wenzetu western wako very strategic - my self i have met with several guys from europe and some are my friends,some have degrees and some masters . Yet most of them were coming to volunteer here in Tanzania and other third world countries for free. But what they teld me ......they are enriching their CVs to hit labour market at home. Its pity if a fresh graduate get a relevant job then quit just because of pay , then accept front desk job because its paying more for 100,000 or 200,000 ....!!???

Guyz let think positive and strategicaly, take the relevant job regardless of pay, learn the skills and gain competence then hit the market and sell yourself .....!!! this is free market we are sellig our labour and capitalists takes those who sells relavent skills not Vyeti vilivyochachuliwa......!!!! I have met with some graduates ambao hata kujieleza ni tabu..... lakini ndio hao wanataka mshahara milioni.........

Nyerere aliwahi kutoa rai kwa wasomi chuo kikuu kwamba " if you think being a graduate is posting your certificates on wall at home , then your education has not enlighted you ......!!

If you are a graduate do not be such a selfish enough to think your brothers and sisters who have not suceeded to reach colege and universities are dumb and can not work ....... for your information there are form six leavers who are twice beter that some graduates ....TCHAO.

Mshahara mbuzi, hiyo ndio hoja.

Huezi ukaishi kwa laki moja unusu ktk jiji kama la Dar, halafu ukiulizwa wafanya wapi kazi, eti benki..benki gani imechoka hivo? huo utakuwa ni ujuha. It does not matter anayelipwa hiyo hela mbuzi ana elimu gani..haikidhi matakwa ya maisha ktk commercialised city of our bongoland..PERIOD.

Hao wanakuja kuvolunteer waulize nani anakava mahitaji yao wanapovolunteer na useme kwa kiasi gani..usilete masikhara bana..hii sio Ulaya au Merekani, this is bongoland, tunazo challenge tofauti, na kukariri wanachofanya wengine haitosaidia.

BTW, Serikali inabidi izitupie jicho hizi kampuni za kigeni, maana sioni kama jamii inafaidika chochote na uwekezaji uchwara kama huu.
 
• Marketing and attracting potential business loan clients

• Conducting on-site business and risk assessment of loan applicants

• Preparing loan proposals and presenting them in a credit committee

• Loan monitoring and recovery.

Mimi pia sioni shida yeyote ile. kwanza wametoa opportunity kwa vijana ambao bado hawajajiandaa kwenye college wafanye kazi. P didy acha ku crame, si lazima ukitaka kusoma uwe full time. You can pursue your degrees while you are working so a clean form six leaver could also be emplyoyed. Secondly hizo responsibilities ni ndogo sana infact even form six laever will be underutilized. Ukipata kijana aliyesoma shule nzuri wa darasa la saba anatosha kabisa ila siyo VODA FASTA ZILE ZA KAKA YENU LOWASSA.
 
Kwa haya unayosema ndiyo maana hatuendelei kabisa. Hivi mpaka leo karne ya 21 mtanzania unathubutu kusema maneno kama hayo??
Here in the US most bank tellers are paid very minimal compensation (10-12 USD per HR), and are usually high school graduates or equivalent.
So I don't know what's a big deal over there!!
 
walewale tu.....

A bank teller doesn't have to be a college graduate.
My career advice to you UDSM grads, you can work for this employer for a period of time to get something in your resume while conterplating for some other career moves. Nowadays it's hard to be able to land a dream career immediately just after graduation as it used to be in the past. Be patient!
 
Na hii cheap labour hii kuna siku tutakuja kutoana roho jamani.

Mie nafanya kazi kampuni moja ya wahindi, boss anakwenda hadi sokoni kuulizia bei ya vitu halafu ndio anakuja kupanga mishara. Ukimwambia maisha yako juu anaanza kukutolea data, "maharage yanauzwa.... sukari..... sasa kwa nini unasema mshara hautoshi" Tutaishi kweli namna hii, hapana bwana!

Tafuta kazi sehemu nyingine haraka!

Hii bank iko always after cheap labour. kuna watu wana degree zao wanalipwa 200,000 pale!
 
a bank teller doesn't have to be a college graduate.
My career advice to you udsm grads, you can work for this employer for a period of time to get something in your resume while conterplating for some other career moves. Nowadays it's hard to be able to land a dream career immediately just after graduation as it used to be in the past. Be patient!

labda
 
I beg to differ... mtu haitaji degree kuesabu, kupokea na kulipa wateja pesa au ? Kwa kifupi, a bank teller anahitaji kujua kusoma na kuandika tu...

dumbest post i have ever read! halafu still watu wanampongeza

The Following 3 Users Say Thank You to Kudadadeki For This Useful Post:
Baba Mtu (Yesterday), pianist (7th December 2010), sister sista (5th December 2010)
 
yaani huna hata aibu mpendwa.wewe si ulifukuzwa kwasababu ya kuomba wateja rushwa!!!!.yaani watu wengine bwana huyu jamaa aliandika hii article ninamfahamu sana kwanza alikuwa na tabia ya kuomba wateja rushwa ili atoe mikopo this are kind of people muwaelewe watanzania tumekosa maadili kweli.tunabaki kulaumu ufisadi wakati wenyewe hatuna morals.najua atajustify mshaahara mdogo ndio maana aliomba rushwa na rushwa ya ngono kwa wake za watu je????.huyu jamaa jina namfahamu,alipo sasa namfahamu na reasons za kutimuliwa access bank tunazifahamu.jina tunalihifadhi if he has the gut let him deny it now.kama sijamweka hadharani na pia kuanika reasons za wewe kutimuliwa abt ikiwemo ...... I reserve it for now.he is envious of the place kwasababu they fired him


sasa kama mnalipa mishahara midogo ulitaka aombe ngono?embu elezea kidogo
 
:painkiller: Nimefuatilia sana huu mjadala lakini ninachoweza kusema ni kwamba graduates wa tanzania tunatatizo kubwa..... Mtu anatoka chuo anataka mshahara mkubwa , kumiliki gari na vitu kama hivyo ....!!tengeneza career kwanza ili ujiuze kwafaida sokoni. Hili ni soko huria kinachokuuza sio degree or masters ni ujuzi ulio nao. Ndio maana tunawasomi wengi wanazagaa mtaani na wanaishia kukaa vijiweni wakisubiri kazi za milioni moja mbili amabazo haziji..., "small is better than nothing" ndugu zangu, kidogo mnacho kikataa watakuja wenzenu wakenya na waganda watachukua na kupata ujuzi then watawazibia kabisa zile kubwa ( maana mtabaki mnalalamika , ujuzi hamna na siku hazigandi)

wenzetu western wako very strategic - my self i have met with several guys from europe and some are my friends,some have degrees and some masters . Yet most of them were coming to volunteer here in tanzania and other third world countries for free. But what they teld me ......they are enriching their cvs to hit labour market at home. Its pity if a fresh graduate get a relevant job then quit just because of pay , then accept front desk job because its paying more for 100,000 or 200,000 ....!!???

Guyz let think positive and strategicaly, take the relevant job regardless of pay, learn the skills and gain competence then hit the market and sell yourself .....!!! This is free market we are sellig our labour and capitalists takes those who sells relavent skills not vyeti vilivyochachuliwa......!!!! I have met with some graduates ambao hata kujieleza ni tabu..... Lakini ndio hao wanataka mshahara milioni.........

Nyerere aliwahi kutoa rai kwa wasomi chuo kikuu kwamba " if you think being a graduate is posting your certificates on wall at home , then your education has not enlighted you ......!!

if you are a graduate do not be such a selfish enough to think your brothers and sisters who have not suceeded to reach colege and universities are dumb and can not work ....... For your information there are form six leavers who are twice beter that some graduates ....tchao.

soma vizuri tangazo utawezaje kuomba ajira wakati umeambiwa formsix papa
akuna anaekataa kuanza na mishara mdogo binafsi nimeanza na 150 leo nafurahia matunda ya uvumilivu ingawa kuna waliokataa na kukaa nyumban more than 2yrs...tunachosema hapa si swala la graduates na pesa nyingi no..ni swala la kuajiri competent plp..uwezi kuwa na bank na kuhitaji formsix kisa mishara this is shame..bora wajiunge na mkombozi bank ya wanambeya aibu iwatokee....binafsi naogopa hata kuweka 1500 kwenye hii bank
 
The man
labda nikueleze unajua hata usipoji value mwenyewe akuna atakaekuheshimu
nilihudhuria interview moja labda nikupashe hii wakati wa mshahara wakatuita pamoja binafsi nilitaja mshahra kutokana na elimu yangu na exp yangu..wengine walitaja mishara midogo wale wazungu waliishia kuwauliza mnaweza familia mnawezaje kuishi na mishara midogo hivi ..mwisho wa siku nakukaribisha kwenye mlo wa kufurahi na ajira yangu na kilichofanyika baadae nikawaongezea usafiri,msosi nk/..so unatakiwa ujisanifishe mwenyewe ukiwa chini kila mtu atakudharau maisha..graduates you deserve hig salary asitudanganye huyu wakati mnaweka maji kwenye beseni huyu anapunga upepo
 
• marketing and attracting potential business loan clients

• conducting on-site business and risk assessment of loan applicants

• preparing loan proposals and presenting them in a credit committee

• loan monitoring and recovery.

mimi pia sioni shida yeyote ile. Kwanza wametoa opportunity kwa vijana ambao bado hawajajiandaa kwenye college wafanye kazi. P didy acha ku crame, si lazima ukitaka kusoma uwe full time. You can pursue your degrees while you are working so a clean form six leaver could also be emplyoyed. Secondly hizo responsibilities ni ndogo sana infact even form six laever will be underutilized. Ukipata kijana aliyesoma shule nzuri wa darasa la saba anatosha kabisa ila siyo voda fasta zile za kaka yenu lowassa.

unahakika unachokinena
 
Tatizo sio ACCESS ni cc wenyewe waTZ maana tuko cheap, laiti kama tungegoma haya yote yasingetokea,lakini mtu anaresign pale mshahara mdogo kesho mwingine anaingia huoni kuwa hizo ni shida zetu cc wabongo? Waache watunyoye tu. Maana wajinga ndo waliwao!

Na ukitaka kujua kuwa cc ni mizoba Ukienda pale utaona watu wanapeleka application kila kukicha........!! nani alaumiwe?

Jamani hii ni kazi kwa watoto wa form iv na form vi, na jamaa wamesema hivyo kwamba hao ndo wanaowahitaji, kwanini mnataka kulazimisha waajiri watu wasiowataka wao. Na nyinyi wenye mavyeti kwanini uende sehemu ambayo unaona kabisa ume over qualify na low pay? huko ndo kujidhalilisha lakini si kosa lao, kwa kazi waliyotangaza hizo requirements ni sahihi kabisa.
Tusiwalazimishe kuuwa mbu kwa bomu!!
 
...Mimi sioni tatizo na hilo tangazo wala hatupaswi kuwalaumu. Kila mtu kutokana na elimu yake, uzoefu na skills anatambua thamani yake mbele ya muajiri. Kuna watu wanakataa kazi za mshahara wa 4 milion and they are just bachelor degree holders; they just say im worth more than that! Hivyo wale form six leavers watakaoona they worth more than 150,000/= waachana na ACCESS wakatafute stahili zao, lakini je wapo wangapi???? Mtumishi wa serikali mwenye degree 1 anayeanza kazi (ondoa madaktari na wanasheria, na wafanyakazi kwenye agencies kama TCRA, TEMESA etc ) hakuna anayelipwa more than 350,000/= (you can correct me if this is an old information) Sasa waajiri wanatumia takwimu kama hizo kujipatia unafuu. Suluhisho ni vijana wasomi kujenga mentality ya kujiajiri na kudevelop tabaka kubwa la wajasiriamali wa kati huku tukipigania sera zitakazo wezsha tabaka la wajasiriamali wa kati na wdogo kukua......
 
Jamani hii ni kazi kwa watoto wa form iv na form vi, na jamaa wamesema hivyo kwamba hao ndo wanaowahitaji, kwanini mnataka kulazimisha waajiri watu wasiowataka wao. Na nyinyi wenye mavyeti kwanini uende sehemu ambayo unaona kabisa ume over qualify na low pay? huko ndo kujidhalilisha lakini si kosa lao, kwa kazi waliyotangaza hizo requirements ni sahihi kabisa.
Tusiwalazimishe kuuwa mbu kwa bomu!!

Correct....Tunapaswa kujitambua na kuwa tayari kumwambia muajiri thamani yako....hakuna muajiri anayekulazimisha kazi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom