Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,131
- 16,195
nahitaji moja 'samahani jina la mahali limehifadhiwa kwa usalama wangu dhidi ya watu wa eneo husika'
Hapo CHANJI zinapatikana local zaidi na za viwandani kwa uchache, kwa yeyote ambaye anapajua SUMBAWANGA anajua hiyo, ni balaa.Hapo Chanji wanauza za viwandani au local?
zipelekwe kimara mwisho pale karibu na matungucha
kuna wachaga kibao na hao jamaa kwa masanga loh
Mzee wa chato na project yake magari ya mwendo kasi anetuharibia sana pale
imekuwaje tenaaa??????
sijaenda kitambo kidogo
Lile eneo la pale mbele limesawazishwa kwa ajili barabara
Alama hii zilitakiwa ziwekwe nyingi kwenye maeneo ya barabara ya shekilango to Bamaga hasa kwa Remi,Mori na Ustawi wa Jamii "chuoni