HI!!!

mzee wa noti

New Member
Mar 3, 2010
4
0
oya washikaji wa baraza la jamii mambo vipi? nami nimo ktk baraza naomba mnipe sturi ili tuweze kushirikiana ktk kutoa maoni mbalimbali kwa ajiri ya faida ya nchi yetu naamini sturi nimepata poooooooooooooa
 
Karibu manoti, mradi yasiwe ya Zimbabwe!
Kijiwe wapi jioni???
cheusi mangala lol....mmmh....hiyo ndo namba 6 au 8
 
karibu kwa taratibu....
na some decency pia,
wapo watu wazima humu,na sio washikaji wa vijiweni.......
 
Karibu sana mkuu,tena kwa mikono miwili. Leo kuna uji wa ulezi sijui unatumia? Karibu......!!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom