Karibu ila umesoma Rules and Regulations? Usitishwe huu ni mtandao wa kila mtu kinachoangaliwa hapa ni hoja wala si vioja.nimevutiwa sana na thread mbalili mbali mnazozimwaga humu janvini, nimeamua kujiunga nanyi ili niweze kujifunza mengi zaidi na kuchangia mada mbalimbali kwa yale ninayoyafahamu. heri ya mwaka 2012.:flypig: