Naomba ushauri kwa hili wana jamii.
nina urafiki wa kimapenzi na msichana ambao umeduma takribani miaka 5 sasa,
lkn kulitokea matatizo ya mm kutokubalika upande wa mama yake haswa baada ya kupata taharifa ambazo si za kweli,msichana alijaribu kumweleza ukweli lkn ajakubaliana nayo.lkn ktka kipindi cha hivi karibuni naona mahusiano yetu ya mawasiliano yanapungua kwa kisingizio cha kubanwa na kazi au kukosa salio kwny simu,ingawa nikimtumia salio ananipigia japo si kama zamani,na nikimwambia anieleze hatma ya yote sipati jibu na wala aniambii kama anataka mahusiano yetu tusitishe kwa faida kwake majonzi kwangu,kwa upande wangu nashindwa kuamua kwa sbbu nampenda na namwitaji aje awe mke wangu,je nifanye nn katika hili na umri wangu unayoyoma sasa.Msaada plz
nina urafiki wa kimapenzi na msichana ambao umeduma takribani miaka 5 sasa,
lkn kulitokea matatizo ya mm kutokubalika upande wa mama yake haswa baada ya kupata taharifa ambazo si za kweli,msichana alijaribu kumweleza ukweli lkn ajakubaliana nayo.lkn ktka kipindi cha hivi karibuni naona mahusiano yetu ya mawasiliano yanapungua kwa kisingizio cha kubanwa na kazi au kukosa salio kwny simu,ingawa nikimtumia salio ananipigia japo si kama zamani,na nikimwambia anieleze hatma ya yote sipati jibu na wala aniambii kama anataka mahusiano yetu tusitishe kwa faida kwake majonzi kwangu,kwa upande wangu nashindwa kuamua kwa sbbu nampenda na namwitaji aje awe mke wangu,je nifanye nn katika hili na umri wangu unayoyoma sasa.Msaada plz