MAGAMBA MATATU
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 646
- 1,174
Hakuna ubishi kuwa Nyerere alijgundua tofauti kubwa sana kati ya Mkapa na Kikwete mnamo mwaka 1995 kipindi cha kumpitisha kwenye halmashauri kuu ya ccm(NEC) kwa ajili ya kugombeaa urais,
Nyerere aligundua kuwa KIKWETE ni mwanasiasa na MKAPA ni mtendaji.
JE KUNA TOFAUTI GANI KATI YA MWANASIASA NA MTENDAJI??
jibulake ni rahisi pale tuu utakapoulinganisha utndaji kazi kati ya MAGUFULI na NGEREJA, ni pale tu utakapoulinganisha utendaji kazi wa Prof. TIBAIJUKA na MKULO. ni pale tu utakapoulinganisha utendaji kazi kati ya aliyekuwa mbunge wa Karatu kipindi hicho Dr SLAA na ZITTO bungeni, ni pale utakapoulinganisha utendaji wa aliyekuwa waziri mkuukipindi hicho EDWAD LOWASA na PINDA hivi sasa, ni pale utakapoulinganisha utendaji kazi kati ya aliyekuwa spika wa bunge enzi hizo Mh SITTA na ANNA MAKINDA.
Maana yake ni kuwa Mkapa alikuwa ni rais wa vitendo zaidi kuliko maneno na Kikwete amekuwa ni rais wa maneno zaidi kuliko vitendo,
Mafanikio ya Mkapa haya hapa:
- kaacha chuo kikuu cha Dodoma kikijengwa hadi kukamilika na kutumika kwenye utawala wa kiwete,
- kaacha uwanja wa kisasa ukijengwa hadi sasa unatumika kwenye utawala wa kikwete,
- kaacha barabara ya mwanza hadi Dar inajengwa na hadi leo inatumika kwenye utawala wa kikwete,
- kaacha supermarket ya kimataifa ya mlimani city najengwa hadi sasa inatumika utawala wa kikwete,
- kaacha uchumi umeimalika japo sasa umeyumba kwenye utawala wa kikwete,
- Kaacha elimu ikiwa na usawa wa maskini na tajiri japo sasa kama huna pesa husomi utawala wa Kikwete
- kaacha shilingi ya Tanzania ikiwa imara japo kwa sasa imeyumba na kushuka utawala wa kikwete,
- kaacha plan ya kuongeza barabara Dar kupunguza foleni japo sasa mpango huo umepotezwa na utawala wa JK
- Kaacha maji kahama na shinyanga kutoka mwanza japo sasa jk kashindwa kuyafikisha Singida na Dodoma
HUYO NDO ALIKUWA MKAPA.
Mafanikio ya Kikwete:
- kawaunganisha polisi na mahakama kuhakikisha kuwa hakuna mwananchi yeyote anayepinga utawala wake
- kaunda bunge lenye kuamua chochote kile kwa maslahi ya chama tawala CCM hata kama kinapingwa na watz
- kaunda baraza la mawaziri wanaosema uongo ili kumfurahisha japo ni chanzo cha umaskini kwa watz,
- kasababisha chama tawala kiwe na makundi ndani kwa ndani maslahi yao binafsi,
- kaunda jeshi pilisi la kuhakikisha kuwa pale wanafunzi au wananchi wanapodai haki zao wauawe hata kama kuna uhalali wa kudai haki.
HUYO NDO KIKWETE
Baada ya Nyerere kugundua hivyo, hapo ndo aliamua kusema kwa ,maneno yake kuwa "KAMA NEC MKIAMUA KUMPITISHA JK KAMA MGOMBEA URAIS BASI NIKO TAYARI KUWASHAWISHI WATANZANIA KUWAPIGIA KURA WAPINZANI NA SI KUWAPA KIONGOZI WA AINA HII"
hapo ndo naamini kuna umhimu wa kuwa na rais aliye serious kwa kutotanguliza maneno badala ya vitendo.
JE TUTAFIKA.
Nyerere aligundua kuwa KIKWETE ni mwanasiasa na MKAPA ni mtendaji.
JE KUNA TOFAUTI GANI KATI YA MWANASIASA NA MTENDAJI??
jibulake ni rahisi pale tuu utakapoulinganisha utndaji kazi kati ya MAGUFULI na NGEREJA, ni pale tu utakapoulinganisha utendaji kazi wa Prof. TIBAIJUKA na MKULO. ni pale tu utakapoulinganisha utendaji kazi kati ya aliyekuwa mbunge wa Karatu kipindi hicho Dr SLAA na ZITTO bungeni, ni pale utakapoulinganisha utendaji wa aliyekuwa waziri mkuukipindi hicho EDWAD LOWASA na PINDA hivi sasa, ni pale utakapoulinganisha utendaji kazi kati ya aliyekuwa spika wa bunge enzi hizo Mh SITTA na ANNA MAKINDA.
Maana yake ni kuwa Mkapa alikuwa ni rais wa vitendo zaidi kuliko maneno na Kikwete amekuwa ni rais wa maneno zaidi kuliko vitendo,
Mafanikio ya Mkapa haya hapa:
- kaacha chuo kikuu cha Dodoma kikijengwa hadi kukamilika na kutumika kwenye utawala wa kiwete,
- kaacha uwanja wa kisasa ukijengwa hadi sasa unatumika kwenye utawala wa kikwete,
- kaacha barabara ya mwanza hadi Dar inajengwa na hadi leo inatumika kwenye utawala wa kikwete,
- kaacha supermarket ya kimataifa ya mlimani city najengwa hadi sasa inatumika utawala wa kikwete,
- kaacha uchumi umeimalika japo sasa umeyumba kwenye utawala wa kikwete,
- Kaacha elimu ikiwa na usawa wa maskini na tajiri japo sasa kama huna pesa husomi utawala wa Kikwete
- kaacha shilingi ya Tanzania ikiwa imara japo kwa sasa imeyumba na kushuka utawala wa kikwete,
- kaacha plan ya kuongeza barabara Dar kupunguza foleni japo sasa mpango huo umepotezwa na utawala wa JK
- Kaacha maji kahama na shinyanga kutoka mwanza japo sasa jk kashindwa kuyafikisha Singida na Dodoma
HUYO NDO ALIKUWA MKAPA.
Mafanikio ya Kikwete:
- kawaunganisha polisi na mahakama kuhakikisha kuwa hakuna mwananchi yeyote anayepinga utawala wake
- kaunda bunge lenye kuamua chochote kile kwa maslahi ya chama tawala CCM hata kama kinapingwa na watz
- kaunda baraza la mawaziri wanaosema uongo ili kumfurahisha japo ni chanzo cha umaskini kwa watz,
- kasababisha chama tawala kiwe na makundi ndani kwa ndani maslahi yao binafsi,
- kaunda jeshi pilisi la kuhakikisha kuwa pale wanafunzi au wananchi wanapodai haki zao wauawe hata kama kuna uhalali wa kudai haki.
HUYO NDO KIKWETE
Baada ya Nyerere kugundua hivyo, hapo ndo aliamua kusema kwa ,maneno yake kuwa "KAMA NEC MKIAMUA KUMPITISHA JK KAMA MGOMBEA URAIS BASI NIKO TAYARI KUWASHAWISHI WATANZANIA KUWAPIGIA KURA WAPINZANI NA SI KUWAPA KIONGOZI WA AINA HII"
hapo ndo naamini kuna umhimu wa kuwa na rais aliye serious kwa kutotanguliza maneno badala ya vitendo.
JE TUTAFIKA.