Aaaagh! Umekosa vitu vya maana na kuvipost? Kama huna sometimes unaweza kucomment tu za wengine au kubaki kimya!sio kutuletea upupu na kuijaza bure sever ya JF bila manufaa. Ukitaka kuanzisha thread kaa kwanza na ufikiri je inamanufaa kwa wanaJF? Sio ilimradi na wewe uonekane tu kuwa umepost. Nadhani umenielewa pamoja na wengine wenyetabia kama zako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.