Hi nayo kali kweli kweli usiku kuwa mchana..Faza house nae

Aaaagh! Umekosa vitu vya maana na kuvipost? Kama huna sometimes unaweza kucomment tu za wengine au kubaki kimya!sio kutuletea upupu na kuijaza bure sever ya JF bila manufaa. Ukitaka kuanzisha thread kaa kwanza na ufikiri je inamanufaa kwa wanaJF? Sio ilimradi na wewe uonekane tu kuwa umepost. Nadhani umenielewa pamoja na wengine wenyetabia kama zako.
 
ukweli uwekwe hapa,lete roster yake ya mwezi ili tuikague unaweza ukakuta ina manufaa.
 
Back
Top Bottom