Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,144
Loh
Yawezekana umeanza ogopa..la hasa aijatoka kwa pdidy...tangu jumamosi wapendwa natumiwa msg ifuatayo nkaona si haba niwashirikishe hasa wenzangu wale wanaotarajia kuoa..nibanfsi nilimjibu amechelewa nina mwenza bado akaendelea kutuma anayoweza msg ilikwua ifuatavyo
"'Hello Dear habari zako.. samahan najua unijui sikujui nimeonyeshwa picha yako na rafiki yangu mmoja kwa kweli nikiwa kama mwanadada nieleze hamu yangu kwako natamani penzi lako,,naomba kama waweza wasiliana na namba hiii ntafurah zaidi..wako akupendae
Irene
Hii n msg niliopokea na namba 0652 45 63 20
Badda ya muda akantumia picha zake mbali mbali..anyway nikamjibu kama nilivyosema hapo juu akangangana anaomba hata niwe nae usiku mmoja..nilimweleza nashukuru muda umepita wakati huu nina wa kulala nae masaa 24...Badda ya hapo akantumia msg nyingine naomba kama una rafiki kama wewe unitumie namba yake natafuta mchumba wa kuzaa nae..sikujibu maana nikaona tunapoenda tutaanza kumlalamikia shetwan buree..akatuma msg za ajabu nikaona si haba kaama amedhamiria yawezekana kupitia JF tukapata shemeji mzuri atakaemliwaza kama si kumwibia....
kama uko kwenye mchakato wa kijivu gamba la ubachela basi angalia hiyo namba ujimulike kama waweza vaa vazi la chama cha walala u*** tanzania(VCCWUT)..Nni dada mzuri naomba mwenye kuhitaj asisite kwuasiliana nae
Yawezekana umeanza ogopa..la hasa aijatoka kwa pdidy...tangu jumamosi wapendwa natumiwa msg ifuatayo nkaona si haba niwashirikishe hasa wenzangu wale wanaotarajia kuoa..nibanfsi nilimjibu amechelewa nina mwenza bado akaendelea kutuma anayoweza msg ilikwua ifuatavyo
"'Hello Dear habari zako.. samahan najua unijui sikujui nimeonyeshwa picha yako na rafiki yangu mmoja kwa kweli nikiwa kama mwanadada nieleze hamu yangu kwako natamani penzi lako,,naomba kama waweza wasiliana na namba hiii ntafurah zaidi..wako akupendae
Irene
Hii n msg niliopokea na namba 0652 45 63 20
Badda ya muda akantumia picha zake mbali mbali..anyway nikamjibu kama nilivyosema hapo juu akangangana anaomba hata niwe nae usiku mmoja..nilimweleza nashukuru muda umepita wakati huu nina wa kulala nae masaa 24...Badda ya hapo akantumia msg nyingine naomba kama una rafiki kama wewe unitumie namba yake natafuta mchumba wa kuzaa nae..sikujibu maana nikaona tunapoenda tutaanza kumlalamikia shetwan buree..akatuma msg za ajabu nikaona si haba kaama amedhamiria yawezekana kupitia JF tukapata shemeji mzuri atakaemliwaza kama si kumwibia....
kama uko kwenye mchakato wa kijivu gamba la ubachela basi angalia hiyo namba ujimulike kama waweza vaa vazi la chama cha walala u*** tanzania(VCCWUT)..Nni dada mzuri naomba mwenye kuhitaj asisite kwuasiliana nae