Hi;napenda wanaume kama wewe!!piga simu

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,144
Loh
Yawezekana umeanza ogopa..la hasa aijatoka kwa pdidy...tangu jumamosi wapendwa natumiwa msg ifuatayo nkaona si haba niwashirikishe hasa wenzangu wale wanaotarajia kuoa..nibanfsi nilimjibu amechelewa nina mwenza bado akaendelea kutuma anayoweza msg ilikwua ifuatavyo

"'Hello Dear habari zako.. samahan najua unijui sikujui nimeonyeshwa picha yako na rafiki yangu mmoja kwa kweli nikiwa kama mwanadada nieleze hamu yangu kwako natamani penzi lako,,naomba kama waweza wasiliana na namba hiii ntafurah zaidi..wako akupendae
Irene

Hii n msg niliopokea na namba 0652 45 63 20

Badda ya muda akantumia picha zake mbali mbali..anyway nikamjibu kama nilivyosema hapo juu akangangana anaomba hata niwe nae usiku mmoja..nilimweleza nashukuru muda umepita wakati huu nina wa kulala nae masaa 24...Badda ya hapo akantumia msg nyingine naomba kama una rafiki kama wewe unitumie namba yake natafuta mchumba wa kuzaa nae..sikujibu maana nikaona tunapoenda tutaanza kumlalamikia shetwan buree..akatuma msg za ajabu nikaona si haba kaama amedhamiria yawezekana kupitia JF tukapata shemeji mzuri atakaemliwaza kama si kumwibia....

kama uko kwenye mchakato wa kijivu gamba la ubachela basi angalia hiyo namba ujimulike kama waweza vaa vazi la chama cha walala u*** tanzania(VCCWUT)..Nni dada mzuri naomba mwenye kuhitaj asisite kwuasiliana nae
 
Loh
Yawezekana umeanza ogopa..la hasa aijatoka kwa pdidy...tangu jumamosi wapendwa natumiwa msg ifuatayo nkaona si haba niwashirikishe hasa wenzangu wale wanaotarajia kuoa..nibanfsi nilimjibu amechelewa nina mwenza bado akaendelea kutuma anayoweza msg ilikwua ifuatavyo

"'Hello Dear habari zako.. samahan najua unijui sikujui nimeonyeshwa picha yako na rafiki yangu mmoja kwa kweli nikiwa kama mwanadada nieleze hamu yangu kwako natamani penzi lako,,naomba kama waweza wasiliana na namba hiii ntafurah zaidi..wako akupendae
Irene

Hii n msg niliopokea na namba 0652 45 63 20

Badda ya muda akantumia picha zake mbali mbali..anyway nikamjibu kama nilivyosema hapo juu akangangana anaomba hata niwe nae usiku mmoja..nilimweleza nashukuru muda umepita wakati huu nina wa kulala nae masaa 24...Badda ya hapo akantumia msg nyingine naomba kama una rafiki kama wewe unitumie namba yake natafuta mchumba wa kuzaa nae..sikujibu maana nikaona tunapoenda tutaanza kumlalamikia shetwan buree..akatuma msg za ajabu nikaona si haba kaama amedhamiria yawezekana kupitia JF tukapata shemeji mzuri atakaemliwaza kama si kumwibia....

kama uko kwenye mchakato wa kijivu gamba la ubachela basi angalia hiyo namba ujimulike kama waweza vaa vazi la chama cha walala u*** tanzania(VCCWUT)..Nni dada mzuri naomba mwenye kuhitaj asisite kwuasiliana nae

mwambie anicheki kwenye no hii 0732 16 66 60.
 
Unasema wewe br..sikutaka kuja zaiidi..nilijaribu aagain kumpigia kutaka kumwelekeza anachitaji na nilichomjibu ikapokelewa na mwanaume this time.so yawezekana aana shida ya ukweli si haba akapata kupita mtandao mbaya zaidi nikipiga kwenye simu yangu anapokea anakaaa kimya..nikaona nimsaidie zaidi apate wa kufananana nae..pole kama amekuuma si mbaya unajua ndoa ni ngumu nw days so yawezekana bahati ikamwanfukia jf member nikawa mshenga
 
Loh
Yawezekana umeanza ogopa..la hasa aijatoka kwa pdidy...tangu jumamosi wapendwa natumiwa msg ifuatayo nkaona si haba niwashirikishe hasa wenzangu wale wanaotarajia kuoa..nibanfsi nilimjibu amechelewa nina mwenza bado akaendelea kutuma anayoweza msg ilikwua ifuatavyo

"'Hello Dear habari zako.. samahan najua unijui sikujui nimeonyeshwa picha yako na rafiki yangu mmoja kwa kweli nikiwa kama mwanadada nieleze hamu yangu kwako natamani penzi lako,,naomba kama waweza wasiliana na namba hiii ntafurah zaidi..wako akupendae
Irene

Hii n msg niliopokea na namba 0652 45 63 20

Badda ya muda akantumia picha zake mbali mbali..anyway nikamjibu kama nilivyosema hapo juu akangangana anaomba hata niwe nae usiku mmoja..nilimweleza nashukuru muda umepita wakati huu nina wa kulala nae masaa 24...Badda ya hapo akantumia msg nyingine naomba kama una rafiki kama wewe unitumie namba yake natafuta mchumba wa kuzaa nae..sikujibu maana nikaona tunapoenda tutaanza kumlalamikia shetwan buree..akatuma msg za ajabu nikaona si haba kaama amedhamiria yawezekana kupitia JF tukapata shemeji mzuri atakaemliwaza kama si kumwibia....

kama uko kwenye mchakato wa kijivu gamba la ubachela basi angalia hiyo namba ujimulike kama waweza vaa vazi la chama cha walala u*** tanzania(VCCWUT)..Nni dada mzuri naomba mwenye kuhitaj asisite kwuasiliana nae[/QUOT].
Chema chajiuza, kibaya chajitembeza.
 
Unasema wewe br..sikutaka kuja zaiidi..nilijaribu aagain kumpigia kutaka kumwelekeza anachitaji na nilichomjibu ikapokelewa na mwanaume this time.so yawezekana aana shida ya ukweli si haba akapata kupita mtandao mbaya zaidi nikipiga kwenye simu yangu anapokea anakaaa kimya..nikaona nimsaidie zaidi apate wa kufananana nae..pole kama amekuuma si mbaya unajua ndoa ni ngumu nw days so yawezekana bahati ikamwanfukia jf member nikawa mshenga

kaka wewe naye kwa ujumla una matatizo,na ndi maana ikawa rahis kwake kukuaproach,ndege wanaofanana huruka pamoja,probably ameona mnafanana,mwisho wa sku atabadili namba kwa upuuzi wako wewe!
 
kufanana ni garaama sana mkuu kama umeoa huyo ndie uanefanana nae kulingana na kitabu cha maandiko nilicho nacho kama anafanana kwa kuniangalia basi mkuu nampa pole kwa aliekufanania
unajua watu kama hawa si kuwaacha lengo unawasaiidia jinsi gan ya kupata mume mwema kutoka kwa bwana na ktk hilo nadhan mwanaume akaapokea nikaona nilipoanza kumweleza huyomwanaume amwambie irenee asome baibo kipengeele...a,b,c,d ikakatwa baada ya hapo nikapiga ikapokelewa na kuwa kimya sikusita wito wangunikamtumia msg akipata muda asome aone mume mwema anapatikanaje

Binafsi nikueleze hata wewe sikuhizi dunia imearibika ndugu yawezekana hata aliependa ni huyo mwanaume akatumia jinsi ya kuntafuta ndio mana nikakwambia kufanana ni garama sana sana...,Mungu atusaidie na kuturehemu.........Ngoha nikatufatie nyimbo ya mwaitege nikuwekee ule nyimbo ya mume mwema
 
hilo ni pepo likemee kwa jina yesu.....!

amen mahesabu na si hivyo yaani nimeinyunyizia simu damu ya yesu kabisa ikawasafishe ..
Unajua watu wamekuwa wabaya sikuhizi ..unaweza jua wanakutafuta wewe kumbe lengo lao kukuharibi ndoa yako nawatangazia moto wa yesu uwaangamize kama wwewe unakatabia hiko kwa ndoa za watu ukome kabisa kabisa tena ulegee kwa damu ya yesu kama kuna mitego imetegwa ikateguliwa kwa damu ya mwana kondoo na kama michoro imechorwa juu yangu ikararuliwe kwa damu ya yesu upako huu utembee na kila mwana jf anependa ndoa yake
 
kaka wewe naye kwa ujumla una matatizo,na ndi maana ikawa rahis kwake kukuaproach,ndege wanaofanana huruka pamoja,probably ameona mnafanana,mwisho wa sku atabadili namba kwa upuuzi wako wewe!

mmmh! Jamani tunakwenda waapi? Haya mambo tena hapaa?
Midume ya jf mingapi kwa haka kajinamba kamoja tu au una dhamira ya kuanzisha vita.
Watu humu ndani tu hamnazo au hujui? Watampigia wangapi na jibu lake litakuwa lile lile au wamtakia shida ya kutukanwaa!
Tuwe makini jamani ktk post, japo hii si mbaya sana kwani wengine ni wanachama wa kile chama cha ccwt... Enh wakujivua gambaa!
 
Haya mkuu ila nadhani umemwaga mpunga kwenye kuku wengi na ambao wengine hukukusudia wale mpunga huo!busara yangu inanieleza ungeendelea kuongea nae na kumsaidia taratibu kuliko kuileta huku,ushuhuda ni kwamba nilikuwa wa kwanza kuiona post yako,na nikampigia kutaka kuelewa unachosema,ni bint anaaongea vizuri tu!je kama miongini mwa wana jf wapo baba,mjomba na kaka zake!wataichukuliaje hiyo!Huyo Mungu wako ni shetani amini!hajakuongoza!quotes za bible ni uzushi mtupu kujustify ujinga!SINA NENO MKUU ILA BUSARA INGETUMIKA!NAPITA SIRUD TENA!
kufanana ni garaama sana mkuu kama umeoa huyo ndie uanefanana nae kulingana na kitabu cha maandiko nilicho nacho kama anafanana kwa kuniangalia basi mkuu nampa pole kwa aliekufanania
unajua watu kama hawa si kuwaacha lengo unawasaiidia jinsi gan ya kupata mume mwema kutoka kwa bwana na ktk hilo nadhan mwanaume akaapokea nikaona nilipoanza kumweleza huyomwanaume amwambie irenee asome baibo kipengeele...a,b,c,d ikakatwa baada ya hapo nikapiga ikapokelewa na kuwa kimya sikusita wito wangunikamtumia msg akipata muda asome aone mume mwema anapatikanaje

Binafsi nikueleze hata wewe sikuhizi dunia imearibika ndugu yawezekana hata aliependa ni huyo mwanaume akatumia jinsi ya kuntafuta ndio mana nikakwambia kufanana ni garama sana sana...,Mungu atusaidie na kuturehemu.........Ngoha nikatufatie nyimbo ya mwaitege nikuwekee ule nyimbo ya mume mwema
 
Ujana ni maji ya moto, jitahidi kuuzima "Usiamshe moto wa mapenzi acha yaanze yenyewe"
 
Sio kwamba anadhalilishwa ila ndo may be ndo ukweli wenyewe. Kaka umefanya vizuri ila kama kakupenda wewe, atakuwa tayari kuwa na mwingne zaidi yako??????????????
 
M2 makin n lazima awe mwepesi kuyachambua mambo na kupata mwafaka. ukiingia pupa... Lawama hizo!
 
ondoa hii msg unamdhalilisha

Kajidhalilisha mwenyewe, tena anawadhalilisha hata wanawake wenzake, umeshaambiwa nafasi imejaa bado unang'ang'ania, ving'ang'anizi wa hivyo ndo dawa yao tena weka na picha yake tumuone mkosa haya huyo!
 
Mkuu Pole....nadhan huyu kuna kazi maalam anaifanya...hakuna cha penzi wala nini..watch out broda..ametumwa huyu kukuharibia kwa mwandani wako.
Loh
Yawezekana umeanza ogopa..la hasa aijatoka kwa pdidy...tangu jumamosi wapendwa natumiwa msg ifuatayo nkaona si haba niwashirikishe hasa wenzangu wale wanaotarajia kuoa..nibanfsi nilimjibu amechelewa nina mwenza bado akaendelea kutuma anayoweza msg ilikwua ifuatavyo

"'Hello Dear habari zako.. samahan najua unijui sikujui nimeonyeshwa picha yako na rafiki yangu mmoja kwa kweli nikiwa kama mwanadada nieleze hamu yangu kwako natamani penzi lako,,naomba kama waweza wasiliana na namba hiii ntafurah zaidi..wako akupendae
Irene

Hii n msg niliopokea na namba 0652 45 63 20

Badda ya muda akantumia picha zake mbali mbali..anyway nikamjibu kama nilivyosema hapo juu akangangana anaomba hata niwe nae usiku mmoja..nilimweleza nashukuru muda umepita wakati huu nina wa kulala nae masaa 24...Badda ya hapo akantumia msg nyingine naomba kama una rafiki kama wewe unitumie namba yake natafuta mchumba wa kuzaa nae..sikujibu maana nikaona tunapoenda tutaanza kumlalamikia shetwan buree..akatuma msg za ajabu nikaona si haba kaama amedhamiria yawezekana kupitia JF tukapata shemeji mzuri atakaemliwaza kama si kumwibia....

kama uko kwenye mchakato wa kijivu gamba la ubachela basi angalia hiyo namba ujimulike kama waweza vaa vazi la chama cha walala u*** tanzania(VCCWUT)..Nni dada mzuri naomba mwenye kuhitaj asisite kwuasiliana nae
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom