Hi kwa wana JF wote

JuniorK

Member
Mar 17, 2009
15
0
Mimi ni mwanachama mpya kwenye uwanja wetu huu wa mawazo ya kulijenga taifa letu tunaloliita changa, japokuwa sina uhakika kama bado ni changa, ila ninaamini kuwa hapa tutalikomaza kama litakuwa bado halijakomaa...Keep up good work ya kupamabana na ufisadi kwa uwazi na ukweli mpaka tushinde....JuniorK
 
Mimi ni mwanachama mpya kwenye uwanja wetu huu wa mawazo ya kulijenga taifa letu tunaloliita changa, japokuwa sina uhakika kama bado ni changa, ila ninaamini kuwa hapa tutalikomaza kama litakuwa bado halijakomaa...Keep up good work ya kupamabana na ufisadi kwa uwazi na ukweli mpaka tushinde....JuniorK

Siyo changa bali limebemendwa na mafisadi!! Karibu jamvini!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom