Mtanzania haswa
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 663
- 99
foleni imeanzia ubungu kwenda kimara kunani tena mida hii? huko mbele mi niko baruti tokea saa mbili na nusu
UPDATE:
Nimekuta kuna gari semi trailer hapo korogwe limeharibika ndo limesababisha foleni hiyo pamoja na magari yaliyoishiwa mafuta sbb ya foleni hiyo
UPDATE:
Nimekuta kuna gari semi trailer hapo korogwe limeharibika ndo limesababisha foleni hiyo pamoja na magari yaliyoishiwa mafuta sbb ya foleni hiyo